Acha ujeuri, wewe ulikopa kwa makubaliano unatakiwa kulipa. kukataa au kufanya ujanjaujanja ili usirudishe kodi zetu ni sawa tu na hao wezi, huwezi kusawazisha kosa kwa kosa jingine, ndo kasumba yetu tulio wengi tunapenda sana kunyooshea vidole wengine na kusahau wajibu wetu. Sheria inakutaka...