Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,975
- 2,170
ishu ilikuwa hivi kijana onesmo alikuwa akidai hela zake muda mrefu mpk mauti inamfika ilikuwa jioni baada ya kmaliza shughuli zake na kwenda kudai huo ujira wake...kwa huyo mama...alipofika ndipo alipoitiwa mwizi lakni hakuna jirani hata mmoja aliempiga kama mwizi baada ya kuonekana kulikuwa na watu spesho waliompa kipigo...huyo ana nyumba ya ghorofa...dogo alikmbia ghorofani na kujifungia lakini walibomoa na kumpiga mpk mauti na ukumbuke kuwa huyo kijana kafanya kazi kwa huyo mama muda mrefu so wanafahamiana...na huyo mama hana watoto wala mume....
Zubedayo ebu funguka zaidi, enhee, kwa hiyo wakati huyu kijana anafanya kazi kwa huyu mama walikuwa wanaishi hapo kwenye hilo ghorofa wao wawili tu????? Kuna mengi yako nyuma ya pazia, labda kuuawa kwake kuna mengi nyuma yake, Zubedayo fafanua ......