nimeipenda hii kauli ya waziri wa mali asili na utalii wakati akikabiziwa ofisi na waziri mstaafu Maige. Hii inaonesha kwamba huenda huyu jamaa amejipanga kukabiliana na viwavi.
source tbc1
Angeongea wa cdm angekuwa ameshahojiwa na polisi siku mbili, ccm wangekuwa wameshaandamana, vyombo vyao ya habari vingeirudiarudia na kukemea mara mia! Lakini kwa kuwa ni mwenzao, wanampongeza sana! Upuuzi mtupu!!!!!
nimeipenda hii kauli ya waziri wa mali asili na utalii wakati akikabiziwa ofisi na waziri mstaafu Maige. Hii inaonesha kwamba huenda huyu jamaa amejipanga kukabiliana na viwavi.
nimeipenda hii kauli ya waziri wa mali asili na utalii wakati akikabiziwa ofisi na waziri mstaafu Maige. Hii inaonesha kwamba huenda huyu jamaa amejipanga kukabiliana na viwavi.
Mkuu Malecela, uzoefu katika nchi yetu unaonesha kauri za viongozi wetu na matendo yao hutofautiana sana!- Maneno mazito sana hayo, yanaonyesha the man is serious, ndio tunachotaka sio kwenda huko kwenye wizara kuuuza meno na kucheka cheka, lazima wafanyakazi wajue sasa kazi, saafi sana mleta mada UBARIKIWE TU!
William.
hakuna kitu hizo ndo zenu magamba na kauli za kisanii mfano kilimo kwanza etc, twahitaji vitendo sio nahau
Balozi Kagasheki said:Mimi nataka kufanya kazi kwa kushirikiana na sio kwa ugomvi: waziri haelewani na naibu wake; vurugu tupu. Hii inaondoa ufanisi katika kazi na kama naibu waziri na waziri wanashindwa kuelewana itasababisha hata watendaji wa ngazi ya chini kushindwa kuelewana pia.
Katika Bunge lililopita mbunge mmoja alitaka mawaziri wabadhirifu wanyongwe au wapigwe risasi mimi sitaki kufikia huko nitawanyonga wafanyakazi wabadhirifu kabla ya kunyongwa mimi; nasema hili kwa nia njema kabisa na sio kutisha watu.