Binafsi mi ni timu simba ila yanga walinyimwa goli kabisa najaribu kujiuliza kama VAR room waliweza kumuita refa alipotoa kadi ya njano kwa lomalisa ikiwa lengo lao ajihakikishie mwenyewe ni sahihi kutoa ya njano? Ikiwa wachezaji wa mamelod walikuwa wamekubali na mchezo ukiendelea je VAR...
Kitu kingine hawa mastar weusi wanaokabiliwa na hizi kesi wengi wanapesa nyingi ila wanaishi maisha ya kihuni yani hawana ndoa hata heshima zao ndogo likija swala la kesi kama hizi R Kelly hana mke, Puff Daddy hana mke, Kanye west hana mke, so wanaonekana wazi wanatumia pesa vibaya tofaouti na...
Hii ni vita ya mastar weusi imeibuka tena wale wakongwe waliotengeneza pesa nyingi miaka ya zamani na ndio wanatizamiwa kuishi maisha mazuri kuliko wasanii wa sasa na ikumbukwe marekani haijawahi kumthamini star mweusi toka enzi za kina 2pac huwa inawatumia tu kiburudani ukiangalia R Kelly...
Shida mtu akiwa mkweli faster kwenye jambo ndivyo mtu mjinga huwa huwa faster pia kuhisi ujinga" mfano: mkeo akiwa faster kukwambia fulani kanitongoza mjinga ndivyo utawahi kusema kagongwa ndio maana huwa hawasemi wanasema kwa mwenye akili na sio kwa wajinga. Fuatilia vizuri hyo exclusive kuna...
Unamaanisha nini sasa kwani wanyonge au wasio na kiburi unamanisha hawezi kufa? Au wewe una mkataba na kifo Zungumzia kifo na sio kuzungumza kama kashfa..
Hakuna unachojua mbuzi wewe tiktok ni mtandao wa nchi gani? Na unajua kwanini mbaya wanazifuta? Toa maelezo msingi kwanza sio kuvamia vamia watu rudi shule kwanza.
Haya maswali nilikuwa nayawaza ila nashukuru mkuu umenisaidia kuuliza labda hiyo biashara ya mkopo au kuna jambo baya amefanya anashindwa kuwa wazi haya maelezo yake na matokeo yanayompata bado hayaendani there something behind...
Ukimtaka bila chochote atataka chochote,, na ukiwa na chochote atafanya lolote,, tatizo nini hapo sawa sawa tu toa ili upate huwezi kutoa vigumu kupata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.