Wanasiasa wa tanzania wanafanya yote hayo kwa kujua watanzania ni kama mandondocha au misukule tu, yaani hawajitambui, hawajui, hawaoni wala hawakumbuki chochote. Wanaweza kufanya vyovyote mwisho wa siku pilau tshrit na kofia zinawafanya watanzania wasahau yote .Hapo ndo utajua umasiki wa mawazo...
Akili za watanzania zimeishia kwenye kula tu. Likija suala la migomo au maandamano utasikia nikigoma au nikiandamana watoto zangu watakula nini? Yaani ni wabinafsi kupita kiasi, mtu akishakuwa na uhakika wa kula na kubadilisha mboga tu basi ndio kamaliza. Hii amani inayohubiriwa hapa nchini si...
Mkuu baadhi ya wanawake hasa wa mijini ndio zao hizo kashaona kuna fursa hapo. We kama mzigo unalipa kula tu. Ila kula demu ambaye uko karibu naye saana nako kuna matatizo yake
Huyo ndio waziri na huo ndio uwezo wake wa kufikiri na ni waziri huyuhuyu alishasema kuwa suala la madereva kusoma wakati wa kurenew leseni si la serikali bali yule kiongozi wa NIT alilitoa tu mwenyewe.
Kuwa na rangerover na kutamani kama vits ni sawa tu, kwa kuwa kila gari lina matumizi yake kutokana na mazingira si kwamba utalitumia rangerover kila safari na kila siku. Na utakuwa mtu wa ajabu sana umiliki range halafu usiwe hata na gari nyingine hata ya kawaida tu.Tofauti nj mke ukiwa na mke...
Kuwa na rangerover na kutamani kama vits ni sawa tu, kwa kuwa kila gari lina matumizi yake kutokana na mazingira si kwamba utalitumia rangerover kila safari na kila siku. Na utakuwa mtu wa ajabu sana umiliki range halafu usiwe hata na gari nyingine hata ya kawaida tu.Tofauti nj mke ukiwa na mke...
Inabidi ujishangae wewe kwanza kwa nini hujajua kwa nini serikali inahusika hapo na ccm ina uhusiano gani na serikali. Baada ya hapo utajua hii coment yako uliitoa ukiwa unkitambua au vp?
Ccm ilishaonekana haifai muda mrefu tu. Na kuhusisha migomo na ccm kwa kuwa ndicho chama kinachounda serikali. Sasa kama serikali legelege kwa nini ccm isihusishwe. Au kwa ufahamu wako serikali na ccm ni vitu tofauti? Wewe wa wapi?
Mkuu hawa intarahamwe wanatawala nchi hii kawa vile hawako tanzania, mgomo ulishatangazwa muda mrefu lakini hakuna hatua zilizochukuliwa mpaka haya yanatokea. Serikali imekuwa inafanya mambo kama vile inzima moto. Haya sasa waziri Kabaka na kamanda Kova njooni muendeleze wa sinema yenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.