Wanawake kwanini wakatili hivi kwenye mapenzi?

Wanawake kwanini wakatili hivi kwenye mapenzi?

Bora hizo hela ungekuwa unanywea bia na kitimoto ungenawili vizuri.kuliko kuhonga.mwanamke,, .wanawake siyo watu.wa kawaida watu haelewi
 
yan we jamaa ivi kabila gan..?4m unatoa tu yan ungekuwa karbu ushalamba makofi izo ela ungesha fungua kagenge apo kwenu
 
ze keke

Tafuta ''psychologist'' watakufanyia ''consultation''.
Tatizo lako usipolishughulikia litaku ''cost'' maishani.
 
Last edited by a moderator:
Million 4 tayari na upo Chuoni?
Wale wa kununua kwa hela hiyo foleni hadi wapi hiyo?
 
ze keke

polewajinga ndiyo waliwao,.................
 
Last edited by a moderator:
story za kijinga izi,mil 4 ungemsaidia hata mama yako kijijini
 
We wa wapi? hiyo m4 ya bongo au zimbabwe? acha hadithi za kitoto, unajifanyia promo kiaina sio!
 
Koh koh koh sasa mshikaji umepewa lift na nauli wataka kukusanya wewe
 
We endelea tu kumpa hela mkuu,honga sana.Mpaka unafkisha milion 10 atakuwa ashakupa tu mchezi.

Ila pia ikitokea hajakupa,endelea tu kumhonga,atakuja akupe tu.Maana papuchi si anayo yeye tu
 
ukweli ni kuwa mie nina inferiority complex sababu back in days nlikuwa mchafu n sura hailipi so sikuweza kupata mahusiano. nmepata mpunga kwa kupipga michongo kitaa nkaanza kupendeza kwa kuvaa nguo za gharama n mtyz kibao. so nkipata mschana nawkuwa insecure na hivyo natumia pesa sana kumjali n inakula kwangu kama hivi

tafuta njia ya kudeal na inferiority complex.

jichanganye na wanaume achana na vivulana vinavyowaza papuchi tu. utabadilika sana.

usitegemee kupata uhusiano wa maana kutoka kwa msichana wa chuo, tena ambaye wewe mwenyewe unakaita ka.

kama unachotaka ni papuchi usituharibie wasichana wetu. nenda kwa hao hao madada poa.

acha kupoteza hela kwa "visichana". not worthed. we endelea kupendeza hivyo hivyo wakae wanakuchekea kwa mbali hivyi hivyo. be expensive.
 
Mwànafunzi gani utumie milioni 4 akunyime papuchu Kwa hali hii boom aliwatoshi si ndo ingekuwa silaha Yake ya kukuua uonge nyingi

Afadhali umeliona hilo, Jamaa anatulisha matango pori
 
Mmh inaelekea hauna experience na maswala ya mapenzi.mi nakushauri usome kwanza.izo issue zitakuchanya.
 
mi umenichekesha tu ulivyojieleza aisee
 
umeorodhesha sifa za ku disco mapema chuo bila usumbufu
 
Una uhakika ni mwanafunzi? make kuna malaya wako pia hostel.
 
Back
Top Bottom