This is what we call bubble gum music hii ngoma hit life yake haizidi miezi 6,hongera zake though kwa kazi yake mpya,
Binafsi nitaendelea kubaki kuwa muumini mzuri was mipini ileee ya miaka ya Giza ambayo iliutambulisha muziki wetu wakitanzania na afrika kwa ujumla.
Ngoma kama marashi ya...
Aiseee!!! Mkuu mwaka wa uchaguzi huu jipange hakikisha hurudii makosa yalee ya kumpigia kura mtu usiyemjua matokeo yalipotoka unashangaa tena!!,Fanya hima tuwatoe hawa watu wa mtaa lumumba then am sure muda huo wametoka hata huyu msichana mtakuwa mshajuana so utamuoa vizuri tu
Hahaha duuh hii ni kweli???
Nakumbuka juzi mh mkosamali alisema serikali imezidiwa akili na wakurugenzi wa makampuni binafsi kama presicion na fastjet so serikali ikayaaombe haya makampuni binafsi kupeleka ndege zao comoro
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.