Recent content by Kingvictor87

  1. Kingvictor87

    Say no to baby mama drama

    Hahahahahaha mkuu asante sana tupo pamoja
  2. Kingvictor87

    Yaliyojiri kwenye Mkutano wa Lowassa wa kutangaza nia ya kugombea Urais - Arusha

    Kwa jinsi nilivomuona Leo mheshimiwa waziri mkuu mstaafu nikiz8angalia na zile picha za kukimbia jogging sipati jibu
  3. Kingvictor87

    New Release Diamond ft Mr. Flavor

    This is what we call bubble gum music hii ngoma hit life yake haizidi miezi 6,hongera zake though kwa kazi yake mpya, Binafsi nitaendelea kubaki kuwa muumini mzuri was mipini ileee ya miaka ya Giza ambayo iliutambulisha muziki wetu wakitanzania na afrika kwa ujumla. Ngoma kama marashi ya...
  4. Kingvictor87

    Msichana kaning'ang'ania, nifanyeje?

    Aiseee!!! Mkuu mwaka wa uchaguzi huu jipange hakikisha hurudii makosa yalee ya kumpigia kura mtu usiyemjua matokeo yalipotoka unashangaa tena!!,Fanya hima tuwatoe hawa watu wa mtaa lumumba then am sure muda huo wametoka hata huyu msichana mtakuwa mshajuana so utamuoa vizuri tu
  5. Kingvictor87

    Kanali mstaafu wa JWTZ analipwa Pensheni 22,000/= na Jenerali analipwa 50,000/=

    Ehhhh us dollars Ama madafu? Nimesoma heading tu!!!weekend mood IPO ON baada ya kumaliza kikao kawe!!!
  6. Kingvictor87

    Tanzania kuipa Comoro Msaada wa Ndege

    Hahaha duuh hii ni kweli??? Nakumbuka juzi mh mkosamali alisema serikali imezidiwa akili na wakurugenzi wa makampuni binafsi kama presicion na fastjet so serikali ikayaaombe haya makampuni binafsi kupeleka ndege zao comoro
  7. Kingvictor87

    Juma Nkamia: Ipo haja ya kukaa chini na kuangalia benchi la ufundi la Taifa Stars

    Duuh nyemo FM ndo ya wapi? Ama ndo muheshiwa karudi jimboni kondoa kuwasubiri UKAWA
  8. Kingvictor87

    COSAFA Cup, leo 18 Mei 2015: Tanzania vs Swaziland

    mhhh hali yetu ni mbaya saaana ila ukiwasikia viongozi wetu wa TFF na mipango yao utasema wana stars wanakwenda kombe la dunia urusi
  9. Kingvictor87

    COSAFA Cup, leo 18 Mei 2015: Tanzania vs Swaziland

    hivi ni kweli wakuu unampa vipi john boko acheze 90 minutes? kwa hali hii sidhani hata chan tutaweza toboa ni hali mbaya sana tuko nayo kwa sasa
  10. Kingvictor87

    COSAFA Cup, leo 18 Mei 2015: Tanzania vs Swaziland

    hivi huyu kocha kweli amekosa striker kwenye ligi kuu nzima ya tanzania hadi amchukue john boko?
Back
Top Bottom