Say no to baby mama drama

Say no to baby mama drama

Clouds FMmmmmmmm! The people station. Ilikuwa mada ya leo asubuhi na akina Masoud Kipanya. Kuna dada kichaa mmoja kapiga simu na kujitapa jinsi alivyomsumbua baba mtoto wake, anasema alimmwagia ugali na mboga, na sasa anajiandaa kumwagia ugali mkubwa zaidi. Nilicheka sana hata kama sikumwelewa kiviiiiile!. Nyambafu mama baby drama!
 
Pole

Sent from my Lenovo TAB 2 A7-30H using JamiiForums mobile app
 
Jamani kuna watu wamezaa na watu wanaopenda watoto wanachezea bahati,akina sie mimba bila kutarajia nkasema natoa nkapewa kipigo cha mbwa mwizi Leo hii malezi nakomaa mwenyewe dume linakula bata na kujinadi lenyewe baba Fulani,haki ya nani kuna watu mungu anawaona na atawalipa

Sent from my Lenovo A5600 using JamiiForums mobile app
 
Hehehehe....

MARA NYINGI MIMBA HUSHIKA KWA MWANAMKE USIYE NA MALENGO NAYE.(Hii pia ni chanzo kikibwa cha single moms)-wanatega mashine..kitu inajaa vizuri baadae kelele mingi.Mwanaume kama hajawai kuwaza kuzaa na wewe..lazima ataonekana kama anakwepa majukumu (lakini kiuhalisia inamuumiza kuzaa na mtu asie chaguo lake).

Wakina dada..msitege jamani hizo mashine..mtajipa tabu bure baadaye.Mwache mwanaume atamke mwenyewe anahitaji mtoto.Hakuna suprise mbaya kama ya "Beby mbona sioni siku zangu"
 
Wanaume ninyi mngebebeshwa mimba wiki mojaa tu alafu uambiwe utoeee daa nahisi hata kutom** msingekuwa mnaa......
 
Sehemu ya 3:
Baada ya mama kunipa pole nikaendelea na Mambo yangu,palipokucha nikaita kiyoriyori hadi kwao nikamchukua na binamu yangu kwenda kupakia,kufika tunaambiwa wamesafiri wameenda kaskazini msibani na waameacha maagizo nirudi kuchukua vitu hadi watakaporudi nikapandwa na hasira Kuna chumba Cha nje nikachungulia nikaliona kabati langu na fridge langu nikasema na hali hi y mjomba magu niache vitu kiurahisi hivii nikataka kuboamoa mlangu binamu angu akanikatazaa
Nikakumbuka hapo karibu Kuna mama ake Mdogo yupo anaishi nikamfuata maana anajua kilichotokea akampigia simu mdada wao akanipaatia funguo,kuingia ndani nakuta kabati tu na fridge vingine aliamishia Nyumba kubwa mfano kitanda,godoro,jiko lagesi tv vyombo vya kupikia radio na Kuna Amana Mzee wangu alinipa nikae nazo zilikua kwenye kabati zote kazifungi ndanii,akili ikawa hainipi niondoke na kabati na fridge tu nikasema hapana nikamsukuma binti nikaingia ndani nikakuta jiko la ges lipo jikoni uzuri kumbe vile vitu alimishia kwenye chumba anacholala Mdogo ake wa kiume nikabeba nikaondokaa
Walivorudi mama anapiga simu nimevunja nimetukana sijui blablaa kibao anataka kunipeleka polisii mi nkamwambia nipo tayrii
Ikaenda upepo ukatulia shida sasaa ikawa kwenye matumizi ya mtoto Mimi nikamwambia mama ake matumizi sio shida nitakua namtumia yeye sio mama was mtoto
Nikawa natuma matumizi kumbe nikituma mama anatoa anampa mama wa mtoto afu Mama wa mtoto hanunui vitu wala ninii anaenda kula bata
Siku naenda kumwona mwanangu machozi yalinitoka nimekuta mtoto hana pamps,kachoka mtoto sio yule nilikua naishi nae hata wips hana mtoto humwangalii Mara 2 roho iliniuma Sana sitasahau ile siku nikampigia simu mama angu akanimbia nimchukue kesho yake nimpeleke mkoa alipo yy
Lakini Kuna dada angu mkubwa alikua yupo hapa mjinii nikaenda kumchukua amwone mtoto alivochakaa,Sasa kabla ya kwenda kumchukua dada nikaongea na shemeji angu ambae Mdogo wa mama wa mtoto pamoja na yule dada anaemwangalia mtoto nilioskia ni makubwa na nilikua nawarecord hawajui
1)mama wa mtoto anaweza kukaa nje siku 5 hajrudi nyumbani
2)Pesa nilizokua natuma hanunui mahitaji ya mtoto anaenda kulia bata
3)anaeza akarudi saa 8 usiku asimshike mtoto anaogopa
4)akiamka asubuhi hana habri ya hata kumsaidia binti yule yy yupo bize na simu tuu hata kumwandalia mtot uji hawezi na mtt ana umri wa mwaka 1.5
Nilivorecord yale maongezi nikamrushia mama angu nikamfuata dada angu lakini kichwani nasema timbwili ninaloenda kuleta leo kwao wapo kuita polisi maana haiwezekani nipigike nitume matumizi halafu mtoto hapewi hudumaa
Itaendelea
Vijana njoo mjifunze sio kila sehemu mnadumbukiza tu yamenitokea mwenzenu mnivumilie maana naandika hi hata mwanangu akiwa mkubwa nimwoneshee

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
 
Duuh Kuna wanawake jamani sijui Wana mapepo, kwel life ni vice versa. Watu wanatamani hata kupata huduma ya baba watoto tu hawapati hat cent

Sent from my mi-A500s using JamiiForums mobile app
 
binafsi nimemwelewa mta mada kweli kuna wanawake desdgn hyo alafu wanazid kuwa wengi! kwa leo sn ht ushauri! ulipobug ni yy kuchukua uish nnae nahuku toka mwanzo ulishajua MDANGAJI!hapo ndo ulipoharibu mnooo! ungemchukua mtoto hata km mdg!sio kila mwanamke anafaa kuitwa MAMA!

nakuelewa sana lazima uumie mtoto kudhoofika!sasa huyo atakuwa na drama had unaingia kaburini! utajuta kumjua! ht ukimchukua mtoto atakuwa anakuletea fujo ! POLE!
 
binafsi nimemwelewa mta mada kweli kuna wanawake desdgn hyo alafu wanazid kuwa wengi! kwa leo sn ht ushauri! ulipobug ni yy kuchukua uish nnae nahuku toka mwanzo ulishajua MDANGAJI!hapo ndo ulipoharibu mnooo! ungemchukua mtoto hata km mdg!sio kila mwanamke anafaa kuitwa MAMA!

nakuelewa sana lazima uumie mtoto kudhoofika!sasa huyo atakuwa na drama had unaingia kaburini! utajuta kumjua! ht ukimchukua mtoto atakuwa anakuletea fujo ! POLE!
Haezi nisumbua maana na Mimi kichwa maji endelea kufuatilia thread hii lkn nauzoefu toka udogonii

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
 
Haezi nisumbua maana na Mimi kichwa maji endelea kufuatilia thread hii lkn nauzoefu toka udogonii

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app


hahahaha kumbe wewe huwajui wanawake wa kiswahili tena mostly waliolelewa upande mmoja! kaka yangu anayapitia hayo! mtalazana had ndani yaan sijui ufanyej! pole tena!
 
Yaani hawa mabinti wa uswahilini wanajua hard and dirty sex kiukwel mimi huwapendelea sana ila sipendi tabia zao
 
Nimejitahidi kuielewa lakini kuna kitu kinakosekana katika kisa chako hiki cha mapenzi....

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom