Mwaipaja ima
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 404
- 76
Tz na wa tz kwa kupenda kujitutumua et nanyie mnatakakutoa msaada wa usafili wa anga mbavu znaniuma kwa kicheko kilichojaa kebei/ nyie wakomoro mnamacho lakini hamuon kweli tz inaweza kuwasaidia ktk hili? duuuuuuu