[emoji23][emoji23] hii mada kwa mwandiko niliyeuona, alieileta sio mwenye kuifanya kazi hii, Huu mwandiko sio wa dogo Luck Siyame, angekua ni yeye angeweza kujitetea vizuri, huyu ni chawa mmoja yuko kwenye group la Team Cruiser na hamna kitu anajua. Asamehewe[emoji38]
Cha Kufurahisha sasa most bimmer kwa vichaa wa magari zimefungwa 2JZ, toyota wenyewe wakiangaliaga walichofanya kwenye 2jz-GTE na 3s-GTE wanatabasamu, level za jz ni Nissan huko wakina RB
Mimi sio fundi ila nna wasiwasi na uwezo wa mashine na hizo program unazotumia, kama zimeizidi mashine yani which inapelekea mashine kuchemka sana na kuua vitu.
Ungekua aware na ile inshu yake ya kujifanya mtu wa system wala usingepata shida hizi, wakati Cuthbert analalamika kuhusu Sabaya kuna watu walitia pamba masikioni ila kama umekaa kaskazini kidogo ungeweza kuelewa.
Au anaogopa kuna bloatware zitakuja halafu simu iwe na network lock, unatokeaga huo ujinga kama simu ulinunua refurbished, siku ukirudisha stock rom ndo unafurahi
Kama umeona nimeweka range ya 30-50k
Aggrey ni connection mzee, kama hauna mtu unajuana nae vizuri hasa mafundi kitu ya 60k utauziwa laki na utanunua na bado utahisi bei ni nzuri, mafundi wengi waganga njaa na ndo wapigaji vibaya mno. Mimi kabla sijaenda napiga simu moja kuuliza nnachokitaka na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.