Mfarisayo Mweusi
Member
- Feb 11, 2020
- 22
- 22
Wakuu habarini za muda. Pc yangu ina shida naombeni msaada.
Ni brand ya Toshiba satellite nilipewa na sstr tangu 2015 ambapo kabla ya hapo alikuwa anaitumia akiwa masomoni. Ilianza kuleta changamoto ya kuua hdd tangu 2018, mpaka sasa nimeshabadili HDD kama 5 hivi.
Yaani naweza kuwa nafanya kazi baada ya mda kidogo nasikia inalia( ta ta ta ta kwny hdd) na baadae inazma kabisa nikiiwasha inastuk kwny jina TOSHIBA na haiendelei mbele sijajua tatizo nini.
Nilipokuwa napeleka kwa fundi jamaa alikuwa anasema window imecorrupt... wengine wanasema mashine ndio inayoua hdd so, mpaka sasa sijajua ttz ni nini.
Mwaka huu mwezi wa 3 nikaenda kununua hdd mpaya 1TB aina ya seagate wiki tatu baadae ikazingua nikapeleka kwa fundi kaipima na kugundua hata ile partition iliyowekwa window nayo imekufa... plz msaada jamani.
Au pc ndio ishachoka?
Program ninazotumia ni hz za surveys kama AUTOCAD, QGIS, ArcGIS , Archicad nk
Ni brand ya Toshiba satellite nilipewa na sstr tangu 2015 ambapo kabla ya hapo alikuwa anaitumia akiwa masomoni. Ilianza kuleta changamoto ya kuua hdd tangu 2018, mpaka sasa nimeshabadili HDD kama 5 hivi.
Yaani naweza kuwa nafanya kazi baada ya mda kidogo nasikia inalia( ta ta ta ta kwny hdd) na baadae inazma kabisa nikiiwasha inastuk kwny jina TOSHIBA na haiendelei mbele sijajua tatizo nini.
Nilipokuwa napeleka kwa fundi jamaa alikuwa anasema window imecorrupt... wengine wanasema mashine ndio inayoua hdd so, mpaka sasa sijajua ttz ni nini.
Mwaka huu mwezi wa 3 nikaenda kununua hdd mpaya 1TB aina ya seagate wiki tatu baadae ikazingua nikapeleka kwa fundi kaipima na kugundua hata ile partition iliyowekwa window nayo imekufa... plz msaada jamani.
Au pc ndio ishachoka?
Program ninazotumia ni hz za surveys kama AUTOCAD, QGIS, ArcGIS , Archicad nk