1JZ/2JZ haiwezi kupambana na Wajerumani

KndNo1

JF-Expert Member
Oct 26, 2021
627
2,025
Habari zenu wadau..

Toyota fans mara nyingi tukiongelea gari moto za kijerumani kama Bimmer huwa wanarukia kwenye hizo engine kuwa ni mwisho wa matatizo.. Wazungu kuwa wamenyoosha mikono kwa hizo engine.. Hii imekuwa myth.. Leo naiburst hii myth..

JZ hizi engines zilikuja kureplace flagship ya Toyota ya wakati huo ambayo ilikuwa ni M series. Output ya most powerful JZ ni 320hp hiyo ni 2JZ GTE ilifungwa kwenye Aristo V300 na Supra RZ.. Hapo ni mwaka 1991. Sasa Bimmer walishakuwa na engine moto zaidi S38B38 kabla ya huo mwaka.. Hii inafungwa kwenye E34 M5.

Sasa Toyota Fans muelewe kuwa JZ ipo vizuri kwenye power ila sio most powerful engine.. Sifa ya JZ ni internals zake zilikuwa heavily forged kwahiyo zinaweza accommodate boost kubwa bila kucompromise durability yake. Kwahiyo ni cheap engine kama unataka power kubwa 1000hp.. Zipo nyingi engine cheap kupata power kubwa (LS, Ford Bara4. 0 ila JZ ndio maarufu)
JZ ni best kwa tuning ila stock JZ ni ya kawaida.

Muache mambo ya ohhh JZ ndio kila kitu mkiona tunapost chuma kama Audi RS2.. Bimmer E34 /E39 M5.. Mercedes 500E.. Hizo moto kitambo zikiwa stock.
 
Yes point hapo ni vichaa.. Wenye akili timamu hawezi kutoa MACHINE ya Bavaria akaweka JZ.

JZ.. RB.. Hizo engines maarufu kwa tuning.. Ila stock Toyota bado kufika sehemu walipo Wajerumani..!

Na hao tuners ni vile budget ipo limited.. Unataka gari ya 1000hp zipo straight kutoka kiwandani.. Ila bei huwezi ndio unaopt kwa hizo Toyota then unazitune..!
 
Nafurahia umeelewa nilichokua namaanisha, power+ reliability, amazing 2jz which can tripple bhp from the stock one..... Send it!!!
 
Sasa mkuu 1JZ ni 2500CC 2JZ ni 3000CC hio engine ya kijerumani ni 3750CC mbona ni vitu viwili tofauti? Pia mbona sio popular kwenye street racing? Swali jingine why hao hao wenye BMW wana opt 2JZ?
 
Sasa mkuu 1JZ ni 2500CC 2JZ ni 3000CC hio engine ya kijerumani ni 3750CC mbona ni vitu viwili tofauti? Pia mbona sio popular kwenye street racing? Swali jingine why hao hao wenye BMW wana opt 2JZ?
Aisee kwanza 1JZ haipo kabisa kwenye ushindani.. Sio mshindani.. 2JZ ina 3.0 plus turbo mbili.. Hiyo S38 ni 3.8 NA huoni kuwa JZ ndio anaadvantage..!!!?

Kuwa popular sio lazima uwe mzuri.. Hao racers ni vile hawana pesa.. Wanataka cheap way ya kufika hp kubwa..
Kuna gari zipo stock toka kiwandani zina 1000hp.. Anunue Bugatti then aipeleke kwenye race.. Ishu ni mfuko hauruhusu.. Mfuko ukiwa mzuri hata Range Rover utabebea mbolea bila wasiwasi wowote..!

BMW wanaopita ruti ya 2JZ.. Wengi wao hawana S38B38 kwenye hood.. Wana engines nyingine na wanataka something different..!

Mwisho kabisa.. Mimi naongelea engines stock.. Sifa ya JZ ni kwenye modifications.. Sasa the way watu wa TZ wanavyoiongelea JZ wakati wanazoendesha ni stock na sio tuned ni jambo la ovyo..!
 
Nasubiria tu mpambano mwingine uanze😆

IMG_20211201_122933.jpg
 
Aisee kwanza 1JZ haipo kabisa kwenye ushindani.. Sio mshindani.. 2JZ ina 3.0 plus turbo mbili.. Hiyo S38 ni 3.8 NA huoni kuwa JZ ndio anaadvantage..!!!?

Kuwa popular sio lazima uwe mzuri.. Hao racers ni vile hawana pesa.. Wanataka cheap way ya kufika hp kubwa..
Kuna gari zipo stock toka kiwandani zina 1000hp.. Anunue Bugatti then aipeleke kwenye race.. Ishu ni mfuko hauruhusu.. Mfuko ukiwa mzuri hata Range Rover utabebea mbolea bila wasiwasi wowote..!

BMW wanaopita ruti ya 2JZ.. Wengi wao hawana S38B38 kwenye hood.. Wana engines nyingine na wanataka something different..!

Mwisho kabisa.. Mimi naongelea engines stock.. Sifa ya JZ ni kwenye modifications.. Sasa the way watu wa TZ wanavyoiongelea JZ wakati wanazoendesha ni stock na sio tuned ni jambo la ovyo..!
Sasa why usitafute stock zinazowiana sasa unalinganishaje 3.8 na 3.0 hizo engine hazifanani na haziwezilinganishwa hio 2JZ lete engine ya kijerumani yenye 3.0 halafu powerful kama 2JZ hapo utaeleweka hapo ni sawa na kulinganisha 1KZ na 4.2L iliopo kwenye nissan hakuna uwiano kabisa..swali la kizushi je ipo engine ya kijerumani ya 3.0L inayoweza fuana na 2JZ?
 
Sasa why usitafute stock zinazowiana sasa unalinganishaje 3.8 na 3.0 hizo engine hazifanani na haziwezilinganishwa hio 2JZ lete engine ya kijerumani yenye 3.0 halafu powerful kama 2JZ hapo utaeleweka hapo ni sawa na kulinganisha 1KZ na 4.2L iliopo kwenye nissan hakuna uwiano kabisa..swali la kizushi je ipo engine ya kijerumani ya 3.0L inayoweza fuana na 2JZ?
Aisee hapo kuna concepts bado huzipati.. Ngoja nikueleweshe vizuri..
S38 hiyo engine imefungwa kwenye 2nd generation ya M5.. Ambayo ni E34.. Supra na E34 zimekuwa produced kwenye same Era..na zote zilikuwa high end cars..Wakati huo BMW hakuwa anaweka turbo kwenye engines.. Sifa ya Bimmer ni kwenye N/A zake za six.. Hizo ndio zimempa heshima..Kwahiyo hiyo 3.8 N/A vs 3.0 Twin Turbo ndio comparison sawa kabisa..!

Ukitaka 3.0 ya BMW yenye turbo ipo..N54.. Na inaitwa 2JZ ya kijerumani.. Ila hii imekuwa produced 2006 miaka 15 baada ya 2JZ..Kwahiyo kulinganisha vitu vya misimu tofauti haifai...!

Pia mfano wako wa 1KZ na Td42 ni tofauti kabisa.. KZ ni inline 4 wakati Td42 ni six..
S38B38 ni inline six na 2JZ ni inline six..!

KZ inafungwa kwenye light duty vehicle wakati Td42 kwenye heavy duty..
S38B38 inafungwa kwenye high end car na 2JZ inafungwa kwenye high end car..!
 
Aisee hapo kuna concepts bado huzipati.. Ngoja nikueleweshe vizuri..
S38 hiyo engine imefungwa kwenye 2nd generation ya M5.. Ambayo ni E34.. Supra na E34 zimekuwa produced kwenye same Era..na zote zilikuwa high end cars..Wakati huo BMW hakuwa anaweka turbo kwenye engines.. Sifa ya Bimmer ni kwenye N/A zake za six.. Hizo ndio zimempa heshima..Kwahiyo hiyo 3.8 N/A vs 3.0 Twin Turbo ndio comparison sawa kabisa..!

Ukitaka 3.0 ya BMW yenye turbo ipo..N54.. Na inaitwa 2JZ ya kijerumani.. Ila hii imekuwa produced 2006 miaka 15 baada ya 2JZ..Kwahiyo kulinganisha vitu vya misimu tofauti haifai...!

Pia mfano wako wa 1KZ na Td42 ni tofauti kabisa.. KZ ni inline 4 wakati Td42 ni six..
S38B38 ni inline six na 2JZ ni inline six..!

KZ inafungwa kwenye light duty vehicle wakati Td42 kwenye heavy duty..
S38B38 inafungwa kwenye high end car na 2JZ inafungwa kwenye high end car..!

Sasa mkuu hio E34 unayoizingumzia wewe ni 3rd generation wakati supra unayoifanyia comparison ni 4th generation ambayo ni A80 ambazo zipo bongo pia E34 ipo kwenye class ya executive sio sports car kama ilivyo supra sasa mkuu jiulize wewe why wajerumani waje waweke turbo miaka 15 ijayo yani waje watengeneze version yao ya 2JZ miaka 15 ijayo kimsingi wanajaribu kufukia wapi walipokua wamedema kua produced same era ni sawa lakini wateja wao ni watu wawili tofauti..pia why hawakuiendeleza hio engine iliishia hapo hapo kwenye hio E34 inawezekana ilikua project engine..maana haina muendelezo wake ilikuja toka tofauti kwenye E39
 
Sasa mkuu hio E34 unayoizingumzia wewe ni 3rd generation wakati supra unayoifanyia comparison ni 4th generation ambayo ni A80 ambazo zipo bongo pia E34 ipo kwenye class ya executive sio sports car kama ilivyo supra sasa mkuu jiulize wewe why wajerumani waje waweke turbo miaka 15 ijayo yani waje watengeneze version yao ya 2JZ miaka 15 ijayo kimsingi wanajaribu kufukia wapi walipokua wamedema kua produced same era ni sawa lakini wateja wao ni watu wawili tofauti..pia why hawakuiendeleza hio engine iliishia hapo hapo kwenye hio E34 inawezekana ilikua project engine..maana haina muendelezo wake ilikuja toka tofauti kwenye E39
Aisee unachanganya mambo..
E34 ni 2nd generation ya M5 kwenye BMW..
Supra A80 aka MKiv ni 4th generation ya Supra kwenye Toyota..!
Yes M5 ni executive sedan.. Ila hapo ndio BMW alionesha Dunia kuwa unaweza kuwa na sedan na ika-perfome kama sports car..

Engine ni design.. Design ni route utakayotumia kupata engine..
Unataka kwenda Msata.. Wengine watapita Bagamoyo Road.. Wengine Morogoro road..!
Kwahiyo BMW hakuwa na haja ya kuweka turbo wakati anaweza kupata power bila turbo.. Akapita route ya kuweka displacement kubwa.. Kumbuka nimekueleza sifa ya engines za BMW ni Six cylinders na Natural Aspirated..!

Sasa M car hiyo ni division kamili kwa performance.. Kukuta generation mbili za M car zinazoshare engine inamaanisha division haijafanya kazi yake sawa sawa.. Kila generation inakuja na engine yake.. Ndio maana hiyo engine haikuendelea.. Hata engine iliyopo kwenye E39 haipo kwenye generation inayofuata E60..

Wamekuja kuweka turbo sababu ni nyingi.. Design.. Engine inakuwa smaller.. Kwahiyo kwa Dunia ya sasa Turbo ni technology ya lazima kwenye magari..!
 
Aisee unachanganya mambo..
E34 ni 2nd generation ya M5 kwenye BMW..
Supra A80 aka MKiv ni 4th generation ya Supra kwenye Toyota..!
Yes M5 ni executive sedan.. Ila hapo ndio BMW alionesha Dunia kuwa unaweza kuwa na sedan na ika-perfome kama sports car..

Engine ni design.. Design ni route utakayotumia kupata engine..
Unataka kwenda Msata.. Wengine watapita Bagamoyo Road.. Wengine Morogoro road..!
Kwahiyo BMW hakuwa na haja ya kuweka turbo wakati anaweza kupata power bila turbo.. Akapita route ya kuweka displacement kubwa.. Kumbuka nimekueleza sifa ya engines za BMW ni Six cylinders na Natural Aspirated..!

Sasa M car hiyo ni division kamili kwa performance.. Kukuta generation mbili za M car zinazoshare engine inamaanisha division haijafanya kazi yake sawa sawa.. Kila generation inakuja na engine yake.. Ndio maana hiyo engine haikuendelea.. Hata engine iliyopo kwenye E39 haipo kwenye generation inayofuata E60..

Wamekuja kuweka turbo sababu ni nyingi.. Design.. Engine inakuwa smaller.. Kwahiyo kwa Dunia ya sasa Turbo ni technology ya lazima kwenye magari..!
Mkuu wewe hio BMW E34, ipo class moja na crown kwaio mbabe wake hio ni 1UZ FE V8 iliopo kwenye crown UZS131 hio ndo executive mwenzake ndo apambane nae sio kuweka E34 na Supra A80 hautendi haki kabisa...
 
Mkuu wewe hio BMW E34, ipo class moja na crown kwaio mbabe wake hio ni 1UZ FE V8 iliopo kwenye crown UZS131 hio ndo executive mwenzake ndo apambane nae sio kuweka E34 na Supra A80 hautendi haki kabisa...
Aisee mlinganisho uliopo ni wa JZ engine vs engine za Kijerumani.. Huu sio mlinganisho wa chassis.. Wewe unalinganisha chassis..
Kwenye chassis yes E34 na Crown ndio category moja.. Executive Sedan..!

Mbili hiyo engine unayoisema kwenye crown haiwezi kukaa ligi moja na S38B38..!
Haina uwezo hata wa 2JZ..!
Hiyo inalinganishwa na M60/M62 za kwenye E34 540i.. Ila sio E34 M5..!
 
Back
Top Bottom