T mobile Samsung galax s9 inasumbua.

Hahaha unashangaa nini mzee, nenda Aggrey pale uone, samsung utahangaika kioo tuu lakini saketi za kumwaga, hujui Samsung zilivyokua na Re-sell price mbovu!
Hapana Aisee, na resale mbovu ni refurb international version zina resale nzuri tu. S9 international bado ni zaidi ya milioni 1 bei yake, Na imetoka zaidi ya miaka 3 iliopita.
 
Hapana Aisee, na resale mbovu ni refurb international version zina resale nzuri tu. S9 international bado ni zaidi ya milioni 1 bei yake, Na imetoka zaidi ya miaka 3 iliopita.

Brand new S9 plain haizid 600k S9+ 700k na hiyo ni zaidi 64GB, refurb zinacheza kwenye 350k and less... na i have proof, wewe tuipe Muda Ultra uone itakavyoporomoka bei within 2-3 years utakuta inauzwa bei ya iphone X
 
Hamna samsung s9 ya line 2 tusichoshane ,hiyo ni ya macho ndogo mchina .
Tupa nunua hata tekno matako sijui mtawezana.
 
Hiyo simu ni Korean version mkuu,,na rom iliyokuepo mwanzo ilikua ni dual sim rom ...sasa fundi wako alitakiwa afanye kubackup kwa twrp ndio apige hiyo stock..na ukipiga stock automatically dual simu inasepa..

Chakufanya atafute dual sim rom android 10..kisha aroot simu kwa magisk alaf aflash sasa hiyo rom kwa custom recovery (twrp)...na hapo imei huenda itakuja ku corrupt kwaiyo lazma awe na box ya z3x au chimera ndio atafanikiwa incase mambo yatakua hivyo

Firmware ya dual simu hii hapa



Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Brand new S9 plain haizid 600k S9+ 700k na hiyo ni zaidi 64GB, refurb zinacheza kwenye 350k and less... na i have proof, wewe tuipe Muda Ultra uone itakavyoporomoka bei within 2-3 years utakuta inauzwa bei ya iphone X
Refurb za iPhone 8 ni chini ya dola 200 Amazon, sawa na s9 tu.

Na hakuna Brand new S9 ya laki 6, hata mimi Aggrey naifahamu vizuri tu.

Brand new S9 sasa hivi Amazon (sold by Samsung wenyewe) na itakuwa stocked 12 mwezi huu ni $429 kabla ya kodi ambayo ni Around hio 1m.
Amazon product ASIN B07VN9X8V5
Na mkuu s20 na s21 ultra bado zina hold bei zake vile vile, na ukitaka Refurb za iPhone 11 pro max tayari imeshashuka hadi around dola 700, GB 256

Amazon product ASIN B07ZQPYXJP
So unaweza tumia simu refurb kutetea hoja yako lakini ukweli ni kwamba simu OG mpya za international version hazipotezi resale value kama refurb.
 
Ok. Mbona bei rahisi sidhani kama ndo bei yake
30k bei ndogo sana. Yaani hyo 30k ndio niliuza motherboard ya Note 4 yangu miaka ya nyuma hapo. Na hapo motherboard ilikua na shida ya kujizima. 30k utapata motherboard ya magumashi tu
 
Korean version hyo mkuu. Kama una computer yenye windows kaa chini tulia, pitia YouTube unagalie tutorial za kuflash Samsung phones kutumia odin. Stock firmware yake unaipata kirahisi tu kwa kutumia tools kma SamFirm tool or Frija tool unakamata firmware yako kwa speed nzuri tu. Hapo unapata full firmware una flash na Odin mwenyewe. Odin haiwezi brick simu yako kma umepata firmware sahihi.

Ni kazi rahisi sana haihitaji kumuhusisha fundi wa kubahatisha firmware. Hyo model number unayoona kwenye download mode ndio model number sahihi ya simu na haibadiliki hata ukiflash firmware ya model nyingine.
 
Hahaha unashangaa nini mzee, nenda Aggrey pale uone, samsung utahangaika kioo tuu lakini saketi za kumwaga, hujui Samsung zilivyokua na Re-sell price mbovu!
hakuna sehemu ya kijinga kama kkoo,mnaipa vyeo tu,kuna ubabaishaji sana.

ukienda unauza kioo spare wanalia hazinunuliki,nenda ukatafute wewe kioo sasa utashangaa bei zao.

mwaka juzi nimeenda na jamaa yangu na samsung note edge,ilikuwa inasumbua sakiti yake,tukauliza tukaambiwa ni 125k mpya,au 70 used,tukaagiza iletwe,dogo yule alizurula kama mbwa akaja kuleta zile story zenu za kuna mzigo mpya unaingia kesho wa mhindi.tukamwambia kausha dogo achana nayo,acha tuuze kioo.happ ujue tuliishaulizia wakatwambia kioo cha note edge ni 180.
kwenda kwa mnunuaji,kwanza ni mmoja mdada hivi.
tukamueleza nia yetu,akatwambai atupe 30k,daah.

nikamwambia mwana tukiweke mtandaoni tu na namba atakayekitaka atautafuta,siku tatu mbele tukapigiwa na mpemba tukakiuza kwa 180 ile ile.
kwahiyo story za sakiti ya s9 kuuzwa 30k mzee baba,si tu unamtafutia ndugu yetu uhasama bali na matatizo pia.
 
hakuna sehemu ya kijinga kama kkoo,mnaipa vyeo tu,kuna ubabaishaji sana.

ukienda unauza kioo spare wanalia hazinunuliki,nenda ukatafute wewe kioo sasa utashangaa bei zao.

mwaka juzi nimeenda na jamaa yangu na samsung note edge,ilikuwa inasumbua sakiti yake,tukauliza tukaambiwa ni 125k mpya,au 70 used,tukaagiza iletwe,dogo yule alizurula kama mbwa akaja kuleta zile story zenu za kuna mzigo mpya unaingia kesho wa mhindi.tukamwambia kausha dogo achana nayo,acha tuuze kioo.happ ujue tuliishaulizia wakatwambia kioo cha note edge ni 180.
kwenda kwa mnunuaji,kwanza ni mmoja mdada hivi.
tukamueleza nia yetu,akatwambai atupe 30k,daah.

nikamwambia mwana tukiweke mtandaoni tu namba atakayekitaka atatitafita,siku tatu mbele tukapigiwa na mpemba tukakiuza kwa 180 ile ile.
kwahiyo story za sakiti ya s9 kuuzwa 30k mzee baba,si tu unamtafutia ndugu yetu uhasama bali na matatizo pia.

Kama umeona nimeweka range ya 30-50k
Aggrey ni connection mzee, kama hauna mtu unajuana nae vizuri hasa mafundi kitu ya 60k utauziwa laki na utanunua na bado utahisi bei ni nzuri, mafundi wengi waganga njaa na ndo wapigaji vibaya mno. Mimi kabla sijaenda napiga simu moja kuuliza nnachokitaka na bei, nikinyanyua mguu ni kwenda kwa fundi wangu straight, na akishindwa yeye hiyo simu naifungia kabatini.
 
Naomba anaejua sehemu kuna fundi mzuri wa simu software kwa hilo tatizo anisaidie kwa maeneo ya mwanza , kigoma, kahama ili niipeleke maana naona fundi wangu huyu nikirudi kumng’ang’ania ataiua hii simu. Maana naumia kuona simu nimeinunua garama inakuwa kirahisi namna hiyo hapana asee..
 
Naomba anaejua sehemu kuna fundi mzuri wa simu software kwa hilo tatizo anisaidie kwa maeneo ya mwanza , kigoma, kahama ili niipeleke maana naona fundi wangu huyu nikirudi kumng’ang’ania ataiua hii simu. Maana naumia kuona simu nimeinunua garama inakuwa kirahisi namna hiyo hapana asee..
Swali: Una PC ya windows? Kma unayo sema tukuekeleze hapa hapa kwenye uzi step by step una flash official firmware unaendelea na mambo yako.
 
Swali: Una PC ya windows? Kma unayo sema tukuekeleze hapa hapa kwenye uzi step by step una flash official firmware unaendelea na mambo yako.

Pc yangu Ina window ten yes na na flash official firmware ndo nini mkuu nieleweshe kwa lugha nyepesi
 
Wadau wa forum hii na ma fundi wa simu software nimewasiliana na fundi mwingine kanambia nitafute kama naweza kupata file la binary 4. A nielekeze jinsi ya kuinstall tena kasema ni rahisi
 
Wadau wa forum hii na ma fundi wa simu software nimewasiliana na fundi mwingine kanambia nitafute kama naweza kupata file la binary 4. A nielekeze jinsi ya kuinstall tena kasema ni rahisi
Mi nishakwambia hapo juu. Ukiwa tayari na bundle lako sema uelekezwe hapa hapa. Hlo file unapata kiurahisi tu mbona.
 
Hiyo simu ni Korean version mkuu,,na rom iliyokuepo mwanzo ilikua ni dual sim rom ...sasa fundi wako alitakiwa afanye kubackup kwa twrp ndio apige hiyo stock..na ukipiga stock automatically dual simu inasepa..

Chakufanya atafute dual sim rom android 10..kisha aroot simu kwa magisk alaf aflash sasa hiyo rom kwa custom recovery (twrp)...na hapo imei huenda itakuja ku corrupt kwaiyo lazma awe na box ya z3x au chimera ndio atafanikiwa incase mambo yatakua hivyo

Firmware ya dual simu hii hapa



Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app

Kiongozi nimeongea na fundi amesema hana box ya z3x kwamba box yake ni ndogo zx sasa amesema ana takiwa atumie chimera so unaweza kusaidia hiyo softwere ya chimera plz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom