Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,715
- 39,801
Hapana Aisee, na resale mbovu ni refurb international version zina resale nzuri tu. S9 international bado ni zaidi ya milioni 1 bei yake, Na imetoka zaidi ya miaka 3 iliopita.Hahaha unashangaa nini mzee, nenda Aggrey pale uone, samsung utahangaika kioo tuu lakini saketi za kumwaga, hujui Samsung zilivyokua na Re-sell price mbovu!