Recent content by kingfisher93

  1. kingfisher93

    Rafiki yangu amekata tamaa ya kutafuta kazi

    kumbe hata wenye master hawana kazi
  2. kingfisher93

    Natafuta kazi, nina elimu ya kompyuta

    naomba nije mimi hapo mikese mi nipo moro mjini nitumie namba zako
  3. kingfisher93

    Herufi tatu (3) tu!

    ccm,cuf,act
  4. kingfisher93

    Hiki ndio kipindi kibaya kuwa kwenye ajira kuliko vyote

    kipindi kibaya bado mmeng'ang'ania humo si muache tuingie na wengine
  5. kingfisher93

    Scorpion anayetoboa watu Macho Buguruni, akamatwa

    hata hapo mahakamani hapajakaa sawa naona
  6. kingfisher93

    Hivi kutembea na malove bite ni sifa au??

    kwa njaa hii nilidhani hayo malovebite unanywea chai nilitaka nikayanunue.,ahsante mdau mmoja aliyeweka picha hapo juu
  7. kingfisher93

    MSAADA:Nimeamua rasmi kuingia katika kilimo na ufugaji

    ukihitaji mfanyakazi tafadhali tuwasiliane
  8. kingfisher93

    Msaada tafadhari!!

    Mimi ni kijana wa kiume mchapakazi. Naamini jukwaa hili kuna watu wana/wamiliki wa project za kilimo na ufugaji na naweza kupata msaada. Nahitaji kazi katika maeneo tajwa hapo juu kama 'unskilled labour' japokuwa naweza kukupa ushauri mdogo katika mifugo na kilimo kutokana na elimu na uzoefu...
  9. kingfisher93

    Tatizo nini msaada jamani

    Nimemaliza chuo mwaka 2015 degree course wildlife mgt. Bahati mbaya sijafanikiwa kujiajiri/kuajiriwa.Nimeapply sana kwenye ma college ya tourism na wildlife_hakuna kitu.sambaza cv NGOs na mashirika yanayohusu wildlife_hakuna kitu. Nimeapply sana kazi za zoom tz, ajira zetu_hakuna kitu.Nikaomba...
  10. kingfisher93

    Kanitafutia kazi sasa nimekuwa mtumwa wa ngono

    ngoja tuendelee kuwepo kuwepo kwanza
  11. kingfisher93

    Natafuta Tuition Morogoro

    Mteule open school
  12. kingfisher93

    Biomedical engineering tupeane michongo

    'To find job' hebu rekebisha kwanza hapa
Back
Top Bottom