Watanzania hatujielewi, kila tukipata mtu ni malalamiko tuu, tukipata rais huyu ni malalamiko, tukipata huyu ni malalamiko na ndio maana nchi haiendelei, tupigeni kazi jamani mambo ya siasa waachieni wanasiasa,inasikitisha kuona watu wameacha kazi zao wanaenda polisi na mabango for nothing huku...
Pole sana yangu.. kiufupi hawa viumbe ndo walivyo, ushaur wangu kwako achana naye we angalia mtoto tuuu na baada ya mda utapata mke mwema na muombe sana mungu... kuhusu suala la familia yake kwa sasa achana nayo fanya mambo yako kaka huku ukijua jukumu lako ni mtoto... ikitokea akajuta na kuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.