Wewe hujuwi faida ya kutembelewa na wageni Wa aina hio nitakukumbusha alikuja bilionea mmoja kutoka USA jina nimesahau ila alijitolea HELCOPTER 1 kwa ajili ya kulinda wanyama zidi ya Majangili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa masikitiko makubwa watu wengi hawamuelewi Rais Magu ,Rais hajakataza au kuzuwia Wanafunzi wa kike Kupata elimu wakipata ujauzito mashuleni bali amekataza kurudia shule kusoma baada ya kujifungua. Kwasasa kuna vituo vingi (Q T) viko sehemu mbalimbali vinapokea Wanafunzi wa Aina hio...
Wakati mwingine mapenzi ya jambo au kitu fulani huwa hayaoni kabisa mf unaambiwa mtu au kikundi fulani wanachanganya siasa ktk misiba hutakubali kwa kuwa Tayari unamapenzi na mtu au kundi fulani lakini hata kwa akili ya kushikiwa tu kwanini unakwenda kutoka rambi rambi ubebe na waandishi na...
Nakuunga mkono ndugu yangu Unajuwa Rais angeacha madudu Kama haya baadae wangesema dhaifu ndio hao hao waliolalamika Shirikala la ndege kufa leo linanunuliwa ndege pia wanalalamika mbona hamueleweki?
Watanzania tupongeze na kusifia vyetu Kama utakumbuka Rais mstaafu kikwetu alimuomba jpm kujengewa hostel jambo ambalo jpm amelitekeleza sasa kwanini baadhi ya wachangiaji Wanachangia kwa mipasho na kebihi inashangaza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.