MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,231
Gwaji, jumapili hii sadaka yangu inakuhusu, ntakuja
Mlalahoi hujui kitu unaona ni haki hats kuonewa polehuyo gwa maji na bashite hawana tofauti kama ana busara si akae kimya
Shetani anamtumia vibayaShetani ana nguvu sana, anamtoa kwenye line huyu mchungaji.
Ninachompenda anajiamini haogopi kufa kwa loloteWanamchokoza wenyewe... Wacha tushuhudie mtanange....
Kama unaweza kushauri mwambie bashite alete vyeti na Nina lake kamili kisha aombe samahani kwa watanzania has a Wa dar kuchanganya ujinga wake na wivu watamwelewaMm naona Gwajima sasa unalitumia kanisa vibaya, mchungaji hutakiwi kujibu kila linalosemwa, mchungaji unatakiwa kuwa na hekima za hali ya juu sana, fanya kazi ya kuinjilisha siyo kutoa mipasho yako.
Anzia kwa bashite ambaye analipwa kwa kodi zenu Gwajima anafanya kujihami na uonevu Wa bashiteMimi siyo time bashite maana siijui,na simkatazi kusema mdomo mali yake,tatizo langu ni platform anayotumia na title anayojipa ya uaskofu naona havirandani najiuliza ni huduma ya roho yupi?mtakatifu au mtakavitu.
Mkuu Askofu Gwajima alikuwa kimya alishamalizana na huyo mtu. Huyo mtu amemchokoza tena na hata wewe uliona amechokozwa labda mapenz ya dhati ya bwana yule yamekuzid...inamaana hukumsikia wala kumuona akisema huyu sio askofu wala mchungaji eti yeye akatoa ufafanuzi askofu au mchungaji anatakiwa awe na vigezo gani...Theologia alisoma lini? Mwenzake ana PhD ya theologia? ni credible source on divinity & theology issues. In short jamii haiwezi kupokea maelekezo juu ya issue za kidini kwa huyo mtu kwakuwa hajabobea kwenye hiyo fani.Kwa Bishop Dr.Josephat Gwajima ni sawa. Napita tu...Gwajima Gwajima!! Huyu roho wako huyu,hata shetani hamjui.
Haogopi kufa?Ninachompenda anajiamini haogopi kufa kwa lolote
Na anakuzidi kwa mapato sasa wewe ambae betri yako imeisha chaji endelea kusifia mkuu wa mkoa aliyekengeuka
Shetani hayupo acha mawazo ya kijinga.Shetani anamtumia vibaya
Aombe samahani amewakosea nini, vyeti vyake vinakuhusu nini, badala ya kuonhea mambo ya maana unang'ang'ana vyeti akivitoa what next, vyako nani kakwambia utoe hizi siasa uchwara zenu hizi.Kama unaweza kushauri mwambie bashite alete vyeti na Nina lake kamili kisha aombe samahani kwa watanzania has a Wa dar kuchanganya ujinga wake na wivu watamwelewa
Mungu yupo
Tulia mshedede ukuingie taratibu huku ukisikilizia utamu.Huyu jamaa ni chizi povu limeanza kumtoka. Kama halipi kodi sisi inatuhusu nini kwani TRA hawapo