Samahani mkuu, amefariki kwa ugonjwa gani? Pole Sana MhKwa Mungu kila nafsi itarejea. Nimpe pole mheshimiwa kwa kupoteza mke na pole kwa watoto kwa kupoteza mama. Mimi binafsi mama yangu alifariki kwa ugonjwa huu nikiwa na miaka 4 ila namshukuru Mungu na Mzee wangu kwa kuipigania na kunipa nguvu hadi sasa nina miaka 37+ ila naumia sana nikisikia huu ugonjwa.Mungu tujalie amani na upendo tuishi kwa upendo tukisubiri ule mji udumuyo.Pole kwa wote waliogushwa na msiba huu
True.Kufiwa na Mke ni mtihani boss ,,nikimuangaliaga my wife tunavyochekeshana na mambo mengine , sipati picha itakuwaje,,, Mungu ndio anajua
No body knows. Hakina mazoea.Hii inaonyesha jinsi tusivyojiandaa kisaikolojia kwamba tutakufa au kufiwa!