Recent content by king004

  1. king004

    JamiiForums Tanzania Must see Movies

    Acha masihara ww Olympus has fallen ni babar nyingne mzee...
  2. king004

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Tax driver 2.. Wanasema hv tusimulie hadithi yako kisha amua mwenyewe tukulipizie kisasi au? Hii series ina mkono balaa hakuna cha love story ni akili na actions tupu..
  3. king004

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    24 hours American Oddsey Seals Team
  4. king004

    JamiiForums Tanzania Chakula gani ulikula mara moja na kwa mara ya kwanza hadi leo hutaki tena kukila?

    Mchunga... Yale majani ya sungura
  5. king004

    JamiiForums Tanzania External yangu aina ya Toshiba ina matatizo

    Haiwezi fanya kazi tena kwa hiyo au kuna namna ya kuifufua
  6. king004

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kusoma maneno yaliyozibwa

    Naomba kufahamu kama naweza kusoma maneno yaliyozibwa na sticker au rangi mfano bluu nyeusi nk katika picha za whastapp au zozote zile.. Mfano picho hiyo hapo chini nataka nione kulichozibwa
  7. king004

    JamiiForums Tanzania Umeme unaenda haraka zaidi ya maajabu msaada

    Waya wa Ethi utakuwa umeisha... Wasiliana na fundi aje kurekebisha kuweka waya upya.. Mwenyewe nilikuwa na tatizo kama hilo ila alivyobadilisha sasa hv unit haziendi kama zamani
  8. king004

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu wa EPSON printers, Ushauri, matatizo, maelekezo, matengenezo nk

    Kwani Epson L3150 inaprint two sides?
  9. king004

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu wa EPSON printers, Ushauri, matatizo, maelekezo, matengenezo nk

    Umejaribu kuisafisha ndani kama kuna vipande vya karatasi au ikigoma fanya reseter
  10. king004

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu wa EPSON printers, Ushauri, matatizo, maelekezo, matengenezo nk

    Natumia Espson L3150 iko poa sana.. Ila juzi nimeweka wino lkn nikaona a baada ya muda printer inavujisha wino kwa chini.. Shida ni nn.. Ila sasa hv iko poa
  11. king004

    JamiiForums Tanzania External yangu aina ya Toshiba ina matatizo

    Nina tatizo na external yangu ya Toshiba 1 Tb. Ukiconnect kwenye laptop unasoma ila ukitaka ku transfer files zinagoma kuingia. Nimejaribu kuitoa ktk case yake wapi, pia nmechange ule wire pia Hola. Nimejaribu ktk pc ingne pia ni hivyo hivyo. Msaada tafadhali
  12. king004

    JamiiForums Tanzania 𝗞𝘄𝗮𝗻𝗶𝗻𝗶 𝗸𝗼𝗺𝗽𝘆𝘂𝘁𝗮 𝗬𝗮𝗸𝗼 𝗜𝗸𝗼 𝘀𝗹𝗼𝘄

    Nina tatizo na external yangu ya Toshiba 1 Tb.. Ukiconnect kwenye laptop unasoma ila ukitaka ku transfer files zinagoma kuingia... Nimejaribu kuitoa ktk case yake wapi, pia nmechange ule wire pia Hola.. Nimejaribu ktk pc ingne pia ni hivyo hivyo.. Msaada tafadhali
  13. king004

    JamiiForums Tanzania Nifanye Nini simu yangu isiniandikie storage full?

    Kuna apps ya phone master ya clear junk files.. Pia unaweza kwenda ktk setting then storage Kuna setting ha cm ha kuclear unwanted files.. Ikishindikana fanya backups then fanya restore factory
  14. king004

    JamiiForums Tanzania Bongo Movie zinalidhalilisha Jeshi la Polisi, wahusika wanapaswa wadhibitiwe

    Ukitaka ujue polis wananongwa angalia za kimarekani..
  15. king004

    JamiiForums Tanzania Series ya 24 anayejua inahusu nini anisaidie

    Nakushauri usiache fuatilia.. Kieffer Sutherland (Jack Bauer) anakwenda na muda kwa ajili ya kukamilisha mission mbal mbal za kigaidi. No time to rest humo.. Hii series kali ya muda wote kuwahi kutokea
Back
Top Bottom