king004
Senior Member
- Dec 12, 2019
- 104
- 106
Nina tatizo na external yangu ya Toshiba 1 Tb.
Ukiconnect kwenye laptop unasoma ila ukitaka ku transfer files zinagoma kuingia.
Nimejaribu kuitoa ktk case yake wapi, pia nmechange ule wire pia Hola.
Nimejaribu ktk pc ingne pia ni hivyo hivyo.
Msaada tafadhali
Ukiconnect kwenye laptop unasoma ila ukitaka ku transfer files zinagoma kuingia.
Nimejaribu kuitoa ktk case yake wapi, pia nmechange ule wire pia Hola.
Nimejaribu ktk pc ingne pia ni hivyo hivyo.
Msaada tafadhali