me mwenzenu naumizwa sana na mapenzi, nna mpnZi huyo cjui kanipa nini hata akinikosea namsameh bila kuomba msamaha, na haipiti muda atarudia tuu kosa hilo, ,,,,, nashindwa kuelewa nifanyej ili niach kumfikilia kabisa na niachane nae, Kwa sababu kila siku zinavyozid kwend vituko vinazid na nazid...