Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

je kuna dawa yoyote ya kuondoa au kupunguza fear
Ipo ya kupunguza fear.First choice ni SSRI(selective serotonin reuptake inhibitors)mfano escitalopram, citalopram-effect ya dawa hizi inapatikana baada ya wiki 4-5 na zinaweza kutumika kama preventive treatment au antidepressants kama sarotex(amitriptylin).

Benzodiazepines zinaweza kutumika pia kama unapata fear in special cases au scenarios mfano kama una fear kupanda ndege unapewa hio kutulia,tatizo benzodiazepines hazitakiwi kutumika muda mrefu kwasababu ya tolerance na addiction.
 
Dr. Nin dawa ya kuondoa makovu ya moto,mdogo wang aliungua moto usoni yapata miaka 12 iliyopita
Hakuna dawa ya kuondoa makovu iko gel yakupunguza ukali wa kovu inaitwa KETO-COLE GEL nayo ni silicon gel lakini sidhani kama inapatikana tanzania, na kuna silicon plaster pia zinakutumika kupunguza ukali wa kovu!
 
gorgeousmimi

Ni nini tiba ya tatizo la kinywa kutoa harufu?
Mswaki unatumia kila baada ya chakula, lakini ndani ya muda mfupi kinywa hutoa harufu kali.
Tumia mouthwash mara mbili kwa siku na safisha ulimi vizuri ukipiga mswaki, kula multi-vitamin tablets.

Nakushauri pia ukaonane na daktari wa meno inawezekana una matatizo kwenye fizi au meno.

Vitu vingine vinavyoweza kusababisha harufu mbaya kutoka kinywani ni matatizo/ugonjwa kwenye ini, njia ya hewa, kisukari, kwenye tumbo kama acid reflux nenda kaonane na daktari wa kawaida kuhakikisha huna tatizo lolote kati ya hayo niloyaorodhesha!Kila la kheri
 
Dr.mm ninatatzo la mdomo wangu kuwa mwekundu(mdomo wa chini) na imenichukua mda ktoka mwaka 2007-leo. Ulianza kwa kuchanika lkn cku hiz haufanyi hivi.

Na watu weng wamekuw wakiniuliza maswali mengi kama natumia pombe au sigara na mm vtu hiv ctumii. Nmeenda kwa madaktar wakaniambia ni fungus wa mdomo mara ninaupungufu wa vitamin c,nmepma ukimwi zaid ya mara nne na majbu cna maambukiz ya ugonjwa huo.

Je,nn nifanye ili nipone maana tatzo hil linanisumbua sana kwan nmepew dawa za ktumia siponi ? Dawa yake ni ipi na itanichukua mda gan kuitumia ? N a je ntaipata wap kwa gharama gani ? Naomba kusaidiwa .
 
hello Huwa naskia kuna vyakula unaweza kutumia vikaongeza umbile la uume!Kama ni kweli ni vyakula gani?Je kuna madhara yoyote?Majibu please
 
Docta hbr. Nina mpwa wangu ana matatizo ya michubuko ktk utumbo mpana(haya ni majibu ya x-ray). Je tatizo linasabishwa na nini?
 
Prednisolone tablets,znafanye kazi na side effects zake ni zipi?natanguliza shukran


Prednisolone ni sythethic glucocorticoid ambayo inafanya kazi kwa kustimulate glucocorticoid receptor iliyopo kwenye cells tofauti za mwili.Glucocorticoid inapunguza inflammation response:Inapunguza inflammation kwa kupitia vyanzo kadhaa mfano inapunguza release ya chembechembe zinazosababisha inflammation itokee.

Glucocorticoid inatengenezwa pia mwilini kwenye adrenocortopic hormone.Ukiwa unatumia glucocorticoid bila mpangilio hasa systemic inasababisha negative feedback kwenye kwahio uzalishaji wake kwenye pitutary glands una pungua.

Unaweza kuepka hilo kwa kula dawa wakati wa asubuhi kwasababu production ya cortisol mwilini inakuwa juu asubuhi ili kuepuka adrenal suppression
.Na ukiwa unataka kuacha kutumia dawa unaacha kwa kuwithdraw taratibu kwa wiki kadhaa,ukiacha ghafla tu mwili hautopata muda kwa kuanzisha utengenezaji wa glucocorticoid kama awali kwenye pitutary glands na inaweza kupeleka dalili za ukosaji wa glucocorticoids ambayo hupeleka maumivu kwenye joints and muscles.

Glucocorticoid inafanya kazi kwenye baadhi ya viungo kama mifupa inazuia osteoblast kwenye bone tissue na kupeleka kuongezeka kulika kwa bone tissue na kupeleka kusababisha ugonjwa kama OSTEOPOROSIS ni sideeffect mmojawapo ya matumizi ya glucocorticoid kwa muda mrefu.Na ndio maana tunashauri ukiwa unatumia prednisolone kwa muda mrefu ule calcium tablets with vitamin D[SUB]3[/SUB] ili kuepuka chances za kupata Osteoporosis,Calcium inasaidia kujenga mifupa kuwa imara na Vitamin D[SUB]3 [/SUB]inaongeza absorption ya calcium kutoka kwenye utumbo mpana.
Effects nyingine ni kama metabolic effects:Kuongezeka kwa sukari(bloodsugar),Tendency ya kupata infection haswa ukiwa unatumia dozi kubwa inasababisha immunosuppressive effect.Na kuongeza tendency ya kupata viralinfecton kama herpes au fungiinfection kama candida.

Side effects ziko tofauti nimeshaorodhesha osteoporosis na high bloodsugar/diabetes juu lakini ukumbuke zinapatikana baada ya matumizi ya muda mrefu na nyingine ziko kwenye picha niloiweka.
image82.gif
Dawa hii inatumia kutibu magonjwa mengi mno kuanzia astma/chronic obstructive pulmonary disease,allergies,reumathoid arthithis,mpaka cancer(in combination with other drugs).Kama ilivyo kila dawa kuna faida na kuna hasara.

Tukipata tiba tunaipa kipaumbele afya yetu na ugonjwa unaotukabili.Side effects zina variety na ziko individual si kila mtu atapata athari nilizoorodhesha ila ni possibilty.Usiache kutumia dawa bila kushauriana na watu wa afya.Uwe na siku njema.
 
wadada wengi wanasuffer kuwa na weusi katikati ya mapaja, vipi watumie dawa ipi kupunguza au kuondoa kabisa
 
51 Reactions
Reply
Back
Top Bottom