Mm wala si shangai kuna dingi yangu wa Mkubwa aliishi maisha kama ya Dr kwaku changanyikiwa baada ya kuachana na mke wake wa kirusi na kumdhulumu Mali zake zote na aliponea chuchupu Ku uwawa mpaka alipo hamia kanisani na kuishi kwenye hostel za kanisa kwa miaka kadhaa,alirudi tz akiwa na begi LA...
Hawa watu majukumu yao yametofautiana kidogo sana,afisa tarafa yeye no mwajiriwa wa serikali kuu na anakuwepo ktk mamlaka ya DC na ana report kwa dc,yeye ni msimamia Sera ktk level ya tarafa,afisa mtendaji wa kata yeye ni mwajiriwa was serikali za mitaa na anakuwa chini ya mkurugenzi mtendaji,na...
Huu Uzi umenikumbusha mvali sana,mm nili danganwa ukifa tz unazaliwa ulaya na unakuwa mzungu,kuna Siku nilisaga betri na kuikoroga na baadae nikainywa nikajifunika blanketi ili nife kwa haraka,nilikaa Siku nzima bila kula mpaka walipo niamsha na kuniuliza kwanini nilikuwa nimelala ndipo nika...
Kabla ya kupatikana kwao inasemekana walichukua na computer lakini ktk story nzima hawajazungumzia hivyo vitu,Roma ni muongo na anatu yeyusha tuu mm kaniboa sana na mm ni mmoja wa funs wake wa ukweli na na delete nyimbo zake zote kwenye pc yng
Mm ni mmoja wawale ambao hawaamini kama Roma alitekwa na story anayo toa ni cooked story ili ajikoshe ndo maana hata hawezi kuangalia camera's, yeye alituambia walifungwa pingu na walipo enda kutupwa huko ununio walifungwa mikono kwa nyuma na mdomo pia,Ila yeye ndo alieweza kujifungua...
Vivutioa vya wawekezaji vimepotea na walio pewa vivutio vya uwekezaji wamegeuzwa wapiga deal ukiangalia watu kama kina bakhrrsa wamesha hamisha viwanda vyao,kina manji wanafulisiwa kwaajili ya chuki binafsi,hakuna mwrkezaji and akuja kuwekeza labda ibaki kama siasa,MTU anajifanya ana uchungu na...
Hiyo bashite alikuwa MTU wao wa karibu sana possible nikweli ananuka mdomo na akivua soksi miguu inanuka,katika maisha siyo kila kila kitu kina hitaji nguvu na madaraka ni dhamana Leo utakuwa nacho na kesho huna,nivyema bashite akae na atambue hata nguvu ya dolla IPO siku itakwisha na atakosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.