Habari wanajamvi, mi niko kigoma kasulu natafuta simu ya techo used phantom A+ au A2 ila nategemea kuja dar tarehe 15 mwezi huu. Namba yangu. 0765509147 kama unauza ni pm tufanye biashara. Msaada, Vp ukiwa china zinauzwaje bei ya jumla in Tsh.
Ritz siasa zako ni za ushabiki mtupu. Hata kama cdm wanaboronga , unataka kujisifia kwa lipi miaka yote hii kasi ni kuuza natural resources. Kaa kimya unasifiwa kwa ujinga we Ritz , mi huwa naziona post zako, nakaa kimya , ila leo, jua wazi kuwa watanzania hatununuliki kwa ubwabwa, elfu kumi...
uko sahihi. Pia kuna machine za kisasa za kusafisha figo zipo pale zinafanya kazi , ni costfully sana, kiukweli nimehitimu Sua ila one day yes UDOM wako juu, tena kwa mda mfupi, changamoto ni mla.... .......hata pesa za majoho kazibana zilizostahili kurejeshwa kwa wahitimu waliograduates...
uko sahii kabisa, 100%.. Daudi ndo chanzo cha Rothschild family, na hao ndio waliochangia kuwepo kwa ukoloni na sasa wanacheza sebene la neo-colonization. Through privatization... Wanatisha wamerith tabia za ubabe wa king david.
Ya kaisari mpe.......na ya Mungu mpe ..........''Pasco utawamaliza wenye uwezo mdogo wa reason, judge and kuamua. Endelea kujiamii penye ukweli ni kusema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.