Recent content by King Mculture

  1. K

    TAMISEMI wafunguka.

    naomba number yako nikupe taarifa zang uniangalizie
  2. K

    Ushauri walimu

    Wasipotoa leo unajua madhara yake? Unaweza kujua kwann watu wanapost anything? " viongozi"
  3. K

    Hi! Wana jamvi natafuta TECNO F8

    Habari wanajamvi, mi niko kigoma kasulu natafuta simu ya techo used phantom A+ au A2 ila nategemea kuja dar tarehe 15 mwezi huu. Namba yangu. 0765509147 kama unauza ni pm tufanye biashara. Msaada, Vp ukiwa china zinauzwaje bei ya jumla in Tsh.
  4. K

    Huwezi kuamini mambo haya yapo dar!!!!

    Maji ni tatizo, bibi karagwe anatumia ya mvua mwazo mwisho, hakuna jinsi tangu miaka ya tisini mpaka sasa. Hakuna mabadiliko
  5. K

    Elezea furaha yako,siku CCM ikitoka madarakani

    Nitawaomba cdm watuondolee li D.........C letu huku ka........su........lu
  6. K

    Watanzania, wakristo na waislamu someni hapa, Tuijenge nchi yetu

    komaeni mpaka kieleweke. Jilipueni, chomeni makanisa, uweni watu. Ili mlipize nyerere aliwaonea then mtafika mbinguni
  7. K

    CHADEMA hamuwezi kutwaa dola kwa Chopa na Maandamano, waelezeni wananchi mtawafanyia nini

    Ritz siasa zako ni za ushabiki mtupu. Hata kama cdm wanaboronga , unataka kujisifia kwa lipi miaka yote hii kasi ni kuuza natural resources. Kaa kimya unasifiwa kwa ujinga we Ritz , mi huwa naziona post zako, nakaa kimya , ila leo, jua wazi kuwa watanzania hatununuliki kwa ubwabwa, elfu kumi...
  8. K

    Ahsante! Ahsante! Ahsante! Mwaaah... Hahahaaa... Jamani hadi raha kwa kweli, mweh! Sio mchezo

    Wee, umedanganywa ile mbayaaaaaaaaa. Lazima upate tabu nzito,, heee!!?? We unasifiwa
  9. K

    Kama Mungu atanijibu ombi hili sitaoa mapema

    Acheni uhuni nyie wapendwa, ukimpenda mtu. Tongoza akikataa sepa acha ujinga kumdhihaki Mungu
  10. K

    Mabadiliko ya elimu

    Sijakuelewa kabisa, unataka nn
  11. K

    Kuhusu ajira mpya za walimu mwaka huu

    Hawa jamaa ............... Naona wanamalizia kuingiza majina,accident ilitokea yalikuwa yamefutika, virus.
  12. K

    Udom udom udom

    uko sahihi. Pia kuna machine za kisasa za kusafisha figo zipo pale zinafanya kazi , ni costfully sana, kiukweli nimehitimu Sua ila one day yes UDOM wako juu, tena kwa mda mfupi, changamoto ni mla.... .......hata pesa za majoho kazibana zilizostahili kurejeshwa kwa wahitimu waliograduates...
  13. K

    Kwa uimbaji wa nyimbo za injili, wasabato wameweza kusimamia maadili

    uko sahii kabisa, 100%.. Daudi ndo chanzo cha Rothschild family, na hao ndio waliochangia kuwepo kwa ukoloni na sasa wanacheza sebene la neo-colonization. Through privatization... Wanatisha wamerith tabia za ubabe wa king david.
  14. K

    Rais wa Ufaransa, Francois Hollande atengana na Mpenzi wake

    Ya kaisari mpe.......na ya Mungu mpe ..........''Pasco utawamaliza wenye uwezo mdogo wa reason, judge and kuamua. Endelea kujiamii penye ukweli ni kusema.
  15. K

    Nahusishwa kutumiwa na CHADEMA shuleni

    sure........... Anatumika ila hajielewi........ Kwa maelezo yake, mi nahisi ni liiCCM hili , anaichafua CDM. Chagua moja kusuka au kunyoa
Back
Top Bottom