kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,244
Wilaya ya Temeke ndio inayoongoza kwa ukosefu wa maji ya bomba..
Sasa jaribu kutafuta kuna majimbo mangapi ya uchaguzi huko...
watu8 napingana na wewe kwa hili. Temeke sehemu kubwa wanabahati ya ardhi yao kuwa maji ardhini tofauti na wilaya nyingine. Kwa hiyo wengi wana maji ya uwakika ya visima vya motor tofauti kabisa na wilaya nyingine that why nadra sana kusikia wanaichi wa Temeke wakilalamika maji maji kama kule kwa mnyika na mdee.
Last edited by a moderator: