Recent content by king mansah

  1. K

    Majanga haya sasa mengine

    Nimeipenda hii mkuu, nikama mlio wa mfuko kufumuliwa au kuoshwa kwenye maji,!!
  2. K

    Mapenzi ya Kitapeli

    Teh , angetafuta mzee mwenzie yasinge tokea,!
  3. K

    O-Ten (Philipo Nyandindi), yuko wapi siku hizi?

    Nuruelly nae sijui yupo wapi nimesikia ,
  4. K

    Navutiwa sana na mwanamke mweusi

    Umenikumbusha mtoto sophia , na matege kidogo na dimples za kutosha , na besi ya kukwaruza,!
  5. K

    Nahisi ananipenda na mimi nampenda sana ila bado hajanitamkia,nimtamkie mimi?

    Csta huyo anakupenda but ipo cku atakutamkia tu,mapenzi ya kweli huanza na urafiki wa kweli kwa kujuana kwa undani , ni wachache sana wenye moyo kama wajamaa ,so be patient time wl come ,ila kama shida yako dushe mwambie tena akipanda tu humuoni tena anakutema mazima, ngonoc kipimo cha kukupenda...
  6. K

    Hebu nisaidieni nini maana ya sentensi hii

    Hapo anamaanisha samaki kutamani chambo kilicho tegwa kwanye ndoano mkuu so once akila chambo hicho humtokea puani,!
  7. K

    Write down your favourite and inspiring quote(s)

    Every person is a victim and has a story to tell,!
  8. K

    Matonya Azidisha Ulevi Hadi Kupoteza Fahamu..

    Ulikua udhaifu wangu sana miaka ya nyuma , may be atajifunza kutoamini watu ,!
  9. K

    Sijui nianzie wapi?

    Mkuu dhambi ya uzinzi haisameheki huyo kashakua adui yako hashindwi hata kukuua kua nae makini sana endapo atarudi wahenga walisema mwanamke akiwa na hawara hawezi kuacha,nahisi maumivu yako moyoni mwangu,!!
  10. K

    Mkaka wa kuchati nae tu anatakiwa

    Ni pm pliiz
  11. K

    Kwanini Wanaume Werevu na Wasomi waliobobea huoa wanawake wenye Elimu ya wastani?

    Wanawaona wayafanyao hao so called wanawake wasomi wakiwa nao vyuoni,!
  12. K

    Leo nimeitwa mwehu, mjinga na mpumbavu, huku kunakoitwa kutongoza kunaelekea kunishinda

    Mkuu mbwembwe tu huyo, kila mwanamke anastaili yake ya kumjibu mwanaume at the first time , mwingine hung'ata kucha mwingine haangalia chini, mwingine hucheka tu kama mwehu, mwingine huwa mpole ila mkuu huyo labda ndio staili yake hembu jaribu mchunguza anapenda vitu gani then mpelekee kama...
  13. K

    Love is weakness, be strong if you want to start

    Pole mkuu, ila maisha lazima yaendelee na utakuja kupenda na kuumia tena, ndio dunia mkuu,
Back
Top Bottom