Csta huyo anakupenda but ipo cku atakutamkia tu,mapenzi ya kweli huanza na urafiki wa kweli kwa kujuana kwa undani , ni wachache sana wenye moyo kama wajamaa ,so be patient time wl come ,ila kama shida yako dushe mwambie tena akipanda tu humuoni tena anakutema mazima, ngonoc kipimo cha kukupenda...
Mkuu dhambi ya uzinzi haisameheki huyo kashakua adui yako hashindwi hata kukuua kua nae makini sana endapo atarudi wahenga walisema mwanamke akiwa na hawara hawezi kuacha,nahisi maumivu yako moyoni mwangu,!!
Mkuu mbwembwe tu huyo, kila mwanamke anastaili yake ya kumjibu mwanaume at the first time , mwingine hung'ata kucha mwingine haangalia chini, mwingine hucheka tu kama mwehu, mwingine huwa mpole ila mkuu huyo labda ndio staili yake hembu jaribu mchunguza anapenda vitu gani then mpelekee kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.