jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,602
- 3,781
- Thread starter
- #81
ndio si unajua fungate la kimasai na sime kiunoni.hatakiwi kugeuka mpaka aombe ruhusahaaaaah!!!!!! mbona kimya kimya hivi! au mi ndio nadoji jf? ?
ndio si unajua fungate la kimasai na sime kiunoni.hatakiwi kugeuka mpaka aombe ruhusahaaaaah!!!!!! mbona kimya kimya hivi! au mi ndio nadoji jf? ?
mpaka anase mimba ndo aje huku
mpaka anase mimba ndo aje huku
wacha weeeeeeethats nice mana hio ndio ishara ya mwanamke kamili...
wacha weeeeeee
mimba ndio habari ya broad teh teh!
sisi wengine tuna za mapacha
hahahahahahaaaaa halafu wanene.Ndo nzuri hizo ukipiga dabo then dabo tena full stop!
Baada ya hapo makumbushio...fukufukufumu....fokofokofokofokofokoooooo...
hahahahaaaaaNimeipenda hii mkuu, nikama mlio wa mfuko kufumuliwa au kuoshwa kwenye maji,!!
MY hii mbona inaukakasi sana. umezaa, bado upo nyumbani, huyo ex nakuja kukuenjoy unachekacheka nae khaa!!! kama alikuwa anataka muendelee kwenda club si angekuvuta ndani ili mtoke out huru. hujui kuwa anakudharau sana ndio maana anakwambia mzae tena, amekuona wewe ni wakuzalishwa na kupewa vihela mbuzi, hakyamungu dunia inamambo.
wenzio mtu akikuacha hivo hata kama anamuhudumia mtoto bado unatamani hata utie bisibisi ya tumbo wewe unacheka nae. siamini kama unachosema umemaanisha, utakuwa umetania tu wewe
Umalaya hata wewe ni malaya mwenzangu hujalazimishwa kusoma na huwezi kinipangia chochote cha kuandika shwaini wewe
Kweli wanaume mko tofauti mi mwanangu ana 5yrs now tangu ana mwaka mmoja na miezi mitatu anahudumiwa na baba wa kufikia kuanzia kula yake,vaa yake mpaka shule anasomeshwa na baba wa kufikia na baba yake yupo hai na ana kazi nzuri kuliko huyu babaake wa kambo anachojua yeye kutuma hela ya nguo za sikukuu tu na akija dar kumuona mwanae ananirubuni eti tuongeze mtoto wa kike hataki kuzaa na wanawake tofauti anapenda starehe akija ni twende club hela utakayotaka utapata ila akiondoka hakumbuki chochote kuhusu mtoto mi nipo kwetu ila namshukuru sana bwana niliyenae kwa matunzo mazuri ya mwanangu japo sijazaa nae
yaan inaonyesha wewe ni malaya tu,hicho ndo nin sasa.so what
Naomba niongezee tusi hapo...huyo dada pumbavu kabisa...amenikera sana mkuu