Recent content by King junior

  1. King junior

    Ajira mpya za waalimu 2013

    hawa waatu ufanyaji kazi wao wanaujua wao wenyewe sijui kwanini waliitoa hii, MAJINA YENYEWE HAYAWEKI, HAWA JAMAA BHANA. Ila 2nashukuru kwani uhakika upo kwasasa tofauti na awali
  2. King junior

    Ajira mpya za waalimu 2013

    TAARIFA KWA UMMA KUHUSU AJIRA YA WALIMU WAPYA TAARIFA KWA UMMA KUHUSU AJIRA YA WALIMU WAPYA WA SHULE ZA MSINGI, SEKONDARI NA VYUO VYA UALIMU TANZANIA BARA MWAKA 2012/13 Jumla ya walimu 26,537 wameajiriwa Serikalini kwa mwaka wa fedha 2012/13. Walimu wa ngazi ya cheti walioajiriwa ni 13,568...
  3. King junior

    Hatari udom, ya mtwara wiki hii

    Someni kwa bidii na mvumilie! NJAA HAIVUMILIKI JOMBAAA
  4. King junior

    Redio Imaan Mnatuangusha aisee! Eti mnasema nini? Hebu toeni hoja yenu sasa...

    Kwa nini tusiishi kama zamani? Tuangalie wapi tulipokosea na tujitahidi kupata ufumbuzi Tumeanza na udini..Mambo mengine yanafuata EXACTLY. NO COMMENT.
  5. King junior

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    Loading......!
  6. King junior

    USHINDI wa Obama ni fundisho kwa wapinzani nchini Tanzania

    CCM WEZI TU. That z rubish, 2pa kule
  7. King junior

    UDOM kitivo cha Elimu wapo mbioni kugoma

    Wanafunzi wanaosomea ualimu kitivo cha elimu Udom wapo mbioni kugoma. Tukio limeanza jana baada ya kubandika matangazo ya mkasanyiko wa wanafunzi wote katika moja ya mabwalo ya wanafunzi (BLOCK F). Mnamo saa tatu usiku, wanafunzi zaidi ya elfu moja walikusanyika na kuanza kujadili hoja zenye...
  8. King junior

    Udom-college of education wapo mbioni kugoma

    Ahsante tatanyengo, lakini leo lazima ombi letu likamilike,vinginevyo hatutakuwa wapole hata kidogo,jana kiongozi wa mikopo Haji ambaye awali alikuwa warden wa block F huku education alitoa tamko kuwa leo tarehe 31 pesa zitaingizwa saa tano kwa wanafunzi wote,lakini wanafunzi walionesha jazba za...
  9. King junior

    Udom-college of education wapo mbioni kugoma

    Wanafunzi wa UDOM-college of education, wapo mbioni kugoma ili kushinikiza utawala ukamilishe matakwa yao hususani ya fedha za kujikimu. Mwaka huu wa masomo wa 2011/2012 umekuwa tofauti kidogo hasa kwa mwaka wa pili na watatu katika kupata pesa zao za kujikimu. Mwaka wa masomo wa 2011/2012...
  10. King junior

    TANESCO kupinga malipo ya DOWANS mahakamani

    Ili yote haya yasitokee TZ,inabidi wananchi tujivue gamba, bila hvyo,hawa akina J. K. KIKWETE,ROSTAM,LOWASSA, wataendelea kutupeleka peleka mpaka tuje kujitambua,tutakuwa tumeshafirisiwa kabisaa,heri ya Mkapa mara kumi ingawa nae simuungi mkono kwa kujenga hotel ya nyota 5 south africa, pia...
  11. King junior

    Dr. Slaa AMKIMBIA Wilson Mukama katika mjadala?

    unauhakika wewe kenge? No research no right to say,do u know it?
  12. King junior

    Prof. KIKULA atoa mpya

    Nina wasi wasi na halimashauri yako ya kichwa,sijui unafikiri kwa kutumia makalio au? Au unagongwa wewe? Sasa unabishana na wanaosoma UDOM? Unataka kutukanwa au umetumwa na mamluki wenzako we ****, wafikishie ujumbe huu kuwa UDOM KUNA UDINI, NA CHANZO NI KIKWETE NA KIKULA, NINA TAKWIMU...
  13. King junior

    Viongozi wa CHADEMA wavamiwa hotelini na Green guard wa CCM-Igunga

    Ccm na Propaganda zenu za kishenzi za kutumia hata BAKWATA mtaigawa nchi hii, huko tunakokwenda sio kabisaa,inaonesha uwezo wenu wa kufikiri umepungua,ndio maana sasa mnatembea na bastola (refer Rage) mnafyatua risasi hovyo, na kutengeneza skendo kibao kuichafua CDM,fanyeni kampeni,acheni upuuzi...
  14. King junior

    Ushauri wa bure kwa CHADEMA

    Yaani katika mafala wewe unaongoza, sasa kikwete unamsifia ana nini cha kujidai nacho? Naona anafilisi nchi tu, system yake ya urafiki ni mbaya, magamba yako wapi? Mbona Lowasa chenge nk bado wapo chamani? Epa, richmond, kagoda agr, siyo vya kikwete hivi? Chadema si chama cha wachaga kama...
  15. King junior

    Prof. KIKULA atoa mpya

    Hizo zote ni njama za CCM,mbona Rosam aziz,Ridhwani Kikwete na kikwete mwenyewe walivyomwaga mamilioni kwa Bashe ili kuwania urais wa federation hawakulizungumzia? Vikao vya waislam seminar rooms za education muda wa saa saba na tisa kupanga mikakati ya kupata urais ili watumie pesa za wanafunzi...
Back
Top Bottom