Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Yanayoendela UDOM ni fedheha sana .Hata zile ndito kuwa kitakuwa chuo cha mfano East and Central Afrika haziwezi timia kwa mpango huo.Wasomi wanaoendesha mambo kwa hulka za kisiasa kama Prof Kikula ni wakupuuzwa na historia itawasuta.