Ushauri wa bure kwa CHADEMA

Chadema wako kimaslahi yao zaidi! Hawaangalii future, viongozi wao ni walafi na wana uchu wa madaraka sana.
Wanatumia hela nyingi sana kwenye maandamano yao na operations mbalimbali ambazo hazina tija!
Ushauri wako ni mzuri..lakini ni kama umempigia mbuzi gitaa

Mbona huzungumuzii hela wanazotumia viongozi wa ngazi za juu wa CCM kuhonga wake za watu na kufanya uzinzi huko Igunga???
 
CDM ninawapongeza sana kwa kuwa na ofisi karibu na vilabu vya pombe; Temeke ofisi ipo mkabala na baa ya Kisuma
 
Salaam wanaJF!

Jambo nitakalolizungumzia si mara ya kwanza kwa jambo hili kusemwa humu JF na wadau mbalimbali. CHADEMA, kama chama kinachozidi kukua na kupata umaarufu hapa TZ, kinapaswa kianze kujiweka katika mazingira ya chama maarufu na kinachokubalika kweli.
Mazingira haya ninayoyasema yamejikita katika suala la ofisi za chama zenye hadhi ya CHADEMA ya sasa na ya badae (kama chama tawala). Kwa kweli ofisi za chama, tena hata za mkoa bado hazina hadhi ya CHADEMA. Mfano, ofisi ya chama pale mkoani Dodoma, ni aibu kwa chama. Si vyema CHADEMA kuwa na ofisi kama ile, kwanza ipo ndani ya kijichumba kimoja (kama frame za maduka kwenye stand za mabasi au za biashara); hakuna office stationary; hakuna hata secretary zaidi ya jamaa mmoja ambae ndie uwa anakaa pale. Pia ofisi za makao makuu nazo zimeshaongelewa sana na wadau; nazo hazina hadhi ya chama kwa sasa.
Hapa chama kinabidi kifanye jitihada kweli; hata kama ni kwa kuomba michango toka kwa wanachama, wapenzi na wakereketwa chama kifanye, ili 2015 chama kiwe angalau na ofisi nzuri katika miji mikubwa hapa TZ.
Hili suala chama kinapaswa hisilichukulie kana kwamba ni dogo; muonekano wa kiofisi nao una matter katika masuala ya kisiasa.

Hivyo mimi ninakishauri chama kifanye jitihada za haraka katika hili. Niko tayari kuchangia kwa ajili ya kufanikinisha zoezi hili.

NB: Pia uongozi wa chama naomba mjitahidi katika suala la mawasiliano na utoaji wa taarifa mbalimbali za chama; website ya chama imedorora sana. System administrators wajitahidi kuwa active and alive.

Natumaini viongozi wa chama watasikia ushauri wangu na kuuzingatia.
Kwanza nakupongeza kwa kutambua kwamba CDM ni chama maarufu, kinakubalika na Watanzania waliowengi ndani na nje ya nchi. Tambua kwamba ni miezi takribani 11 tu tangu CDM kipate umaarufu huo baada ya uchaguzi wa Oktoba 2010. Mkakati uliopo sasa ni wakukiimarisha chama hadi vijijini, suala la ujenzi wa ofisi za CDM nchi nzima ni baadaye ili siku makamanda wetu wakitoa AZIMIO la mchango itamiminika kama mvua. Nakubaliana na ushauri wako pia kuwa uko tayari kwa kuchangia ila siku ya siku tutakapoanza usije ukala kona. Mimi na wewe pamoja wana JF tujiandae kwa hilo. KUBWA kuliko yote ni TELEVISION inayomilikiwa na CHADEMA. Hizi TV za watu wengine zinatuwekea usiku, wanachakachua matangazo wakati mwingine hawaonyeshi kabisa wanawanyima coverage. Hivyo suluhisho la mabo yote hayo ni TV ya chadema watu wengi watavutiwa na kuhamasika. Tuko pamoja Wakuu.
 
Wafadhili wa Magwanda wamewaambia Chadema wasitumie hata shilingi kujenga ofisi na badala yake hela yote waitumie kuratibu maandamano na kununulia tindikali.
Huo ujinga kamwambie JK. ungekuwa na akili walausingeyasema hayo, CCM wana miaka 50 lakini wameshindwa hata kuanzisha television yao na website. Majengo yote walionayo pamoja na viwanja vya mpira vilijengwa toka enzi ya chama kimoja. aibu yenu. Pesa zinaishia kufanyia anasa na kutembea na wake za makada wenu wa CCM.
 
Nani kasema chama hakina pesa wewe?...ni ulafi tu wa mbowe na wakwe zake ndo kikwazo...hakuna mkombozi wa kweli pale chadema labda shibuda..

Yaani katika mafala wewe unaongoza, sasa kikwete unamsifia ana nini cha kujidai nacho? Naona anafilisi nchi tu, system yake ya urafiki ni mbaya, magamba yako wapi? Mbona Lowasa chenge nk bado wapo chamani? Epa, richmond, kagoda agr, siyo vya kikwete hivi? Chadema si chama cha wachaga kama unavyofikiri we nyambafu,kujenga ofisi ni muhimu ila sio lazima,nyie CCM na ofisi zenu mbona mmechakachua kura kuingia madarakani? Mnamsingizia mbowe, mbona kikwete na mafisadi wenzake wanatafuna nchi mnashangilia? ni wakati wa wananchi kujivua gamba na kuiondoa CCM madarakani,hamfai hata bure, mazakafa nyie
 
Salaam wanaJF!

Jambo nitakalolizungumzia si mara ya kwanza kwa jambo hili kusemwa humu JF na wadau mbalimbali. CHADEMA, kama chama kinachozidi kukua na kupata umaarufu hapa TZ, kinapaswa kianze kujiweka katika mazingira ya chama maarufu na kinachokubalika kweli.
Mazingira haya ninayoyasema yamejikita katika suala la ofisi za chama zenye hadhi ya CHADEMA ya sasa na ya badae (kama chama tawala). Kwa kweli ofisi za chama, tena hata za mkoa bado hazina hadhi ya CHADEMA. Mfano, ofisi ya chama pale mkoani Dodoma, ni aibu kwa chama. Si vyema CHADEMA kuwa na ofisi kama ile, kwanza ipo ndani ya kijichumba kimoja (kama frame za maduka kwenye stand za mabasi au za biashara); hakuna office stationary; hakuna hata secretary zaidi ya jamaa mmoja ambae ndie uwa anakaa pale. Pia ofisi za makao makuu nazo zimeshaongelewa sana na wadau; nazo hazina hadhi ya chama kwa sasa.
Hapa chama kinabidi kifanye jitihada kweli; hata kama ni kwa kuomba michango toka kwa wanachama, wapenzi na wakereketwa chama kifanye, ili 2015 chama kiwe angalau na ofisi nzuri katika miji mikubwa hapa TZ.
Hili suala chama kinapaswa hisilichukulie kana kwamba ni dogo; muonekano wa kiofisi nao una matter katika masuala ya kisiasa.

Hivyo mimi ninakishauri chama kifanye jitihada za haraka katika hili. Niko tayari kuchangia kwa ajili ya kufanikinisha zoezi hili.

NB: Pia uongozi wa chama naomba mjitahidi katika suala la mawasiliano na utoaji wa taarifa mbalimbali za chama; website ya chama imedorora sana. System administrators wajitahidi kuwa active and alive.

Natumaini viongozi wa chama watasikia ushauri wangu na kuuzingatia.
Naona Mumezidiwa Igunga unatafuta pa kutokea kwani wewe uko kwenye vikao vya maamuzi vya Chadema ili uweze kufahamu wanafanya hufuatilii hata magazeti Katibu Mkuu wa Chadema alishasema mipango yao ebo
 
Chadema wako kimaslahi yao zaidi! Hawaangalii future, viongozi wao ni walafi na wana uchu wa madaraka sana.
Wanatumia hela nyingi sana kwenye maandamano yao na operations mbalimbali ambazo hazina tija!
Ushauri wako ni mzuri..lakini ni kama umempigia mbuzi gitaa
Umefanya utafiti wa unachokisema? Hivi ni yupi mwenye uwezekano wa ufujaji wa mali ya umma, aliyepata ruzuku ya bilioni 2 kwa mwezi kwa miaka 15 ambaye kashindwa kujenga ofisi za chama chake toka mfumo wa vyama vingi kuanza, ama aliyelipwa ruzuku ya milioni 80 kwa mwezi kwa miaka 5? Je, umeshawai kuona hesabu za mapato na matumizi ya CCM? Fanya utafiti.
 
Naona Mumezidiwa Igunga unatafuta pa kutokea kwani wewe uko kwenye vikao vya maamuzi vya Chadema ili uweze kufahamu wanafanya hufuatilii hata magazeti Katibu Mkuu wa Chadema alishasema mipango yao ebo

Nakusamehe bure kwa maana hujui ulinenalo!
 
Back
Top Bottom