Recent content by King Hans

  1. King Hans

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Mchakato wa CCM kumpitisha Samia kuwa Mgombea Urais 2025 haukuwa halali

    Yule mtu anazingua kupumzika hataki kabisa ndo maana magu alimwambiaga anawashwa washwa
  2. King Hans

    JamiiForums Tanzania Foleni kali kuanzia Goba centre mpaka njia nne kueleka mbezi mwisho, ni janga lingine linalokua kwa kasi

    Nilishasema kuishi Dar ni mateso sana kwenye usafiri juzi nilikuwa huko Goba naendesha mpaka kariakoo asee kimara kuitafuta manzese ni ovyo ovyo ovyo sana SIRUDI TENA 😀
  3. King Hans

    JamiiForums Tanzania Wajumbe wa Mkutano Mkuu CCM unaofanyika 29 na 30 Mei 2025 watoe azimio la kumfukuza uanachama Josephat Gwajima vinginevyo hatutawaelewa

    Zidumu fikra za mwenyekiti. Lakini Nyerere alituonaje yani eti fikra za mwenyekiti zidumu ndiye alieroga akili za wana ccm wote
  4. King Hans

    JamiiForums Tanzania Yanayo endelea CHADEMA ni matokeo ya kutodhibiti nidhamu ya wanachama wake

    Siyo kama ccm wana nidhamu hapana ni uoga tu pale ila nidhamu hakuna watu wanaogopa dora sasa wewe lete kimbelembele wakuhangaishe wewe na ukoo wako
  5. King Hans

    JamiiForums Tanzania Tume ya Taifa imeitangazia Zanzibar uhuru?

    raisi wa ccm siyo wa bara mkuu umekosea kata kauli yako
  6. King Hans

    JamiiForums Tanzania Acheni hizo warembo mnatubania sana!

    ndo maana tunataka mabadiliko
  7. King Hans

    JamiiForums Tanzania Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

    mtoa mada kama ungewai kuendesha gari mpaka moro basi utakuwa unajua gari inapokuwa kwenye mwendo wa kasi ni rahisi kuacha barabara kama dereva akiyumbisha usukan hata kidogo tu na siyo lazima tairi kupasuka au mwalimu wako wa VETA ndo alikufundisha hivo.?
  8. King Hans

    JamiiForums Tanzania PhD ya Magufuli na wanasiasa wengine zichunguzwe upya!

    afu mh magu mbona anajikanyaga sana kwenye kidhungu jaman
  9. King Hans

    JamiiForums Tanzania Kuanzia leo natangaza kuwa na roho mbaya

    hata mimi yamenkita mara mbili nami nakussapoti safari ya roho mbaya
  10. King Hans

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Lowassa mbaroni kwa kumgonga trafiki

    kwani miraji alifanya nini kipindi baba yake ameshinda uraisi kule posta mbona hakuandikwa wala kushitakiwa
  11. King Hans

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka kubadili dini naogopa wazazi wangu

    fungeni ndoa ya serikali sikushauri ubadili dini huko uendako utakuja juta
  12. King Hans

    JamiiForums Tanzania PICHA: Waziri wa Ujenzi na Rais Kikwete wazindua barabara za lami mikoa ya kusini 60 km Lindi

    mijitu mingine bana sherehe za taifa yanavaa nguo za chama
  13. King Hans

    JamiiForums Tanzania Edward Lowassa kuchukua fomu ya Urais ofisi za NEC Jumatatu tarehe 10 Agosti, 2015

    jamani tujitokeze kumsindikiza mgombea uriasi kwa kishindo
  14. King Hans

    JamiiForums Tanzania Kashfa nyingine ya Mbowe: Kumbe Juma Duni Haji hajakabidhiwa kadi ya CHADEMA

    hahaha usiseme hatuna iman jisemee wewe na familia yako sisi tunaimani na white hair in white house
  15. King Hans

    JamiiForums Tanzania Goli la mkono limetimia, CCM wana akili sana

    makongoro mbona hasikiki yupo kweli?
Back
Top Bottom