miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
pesa ndiyo muhimu si unakuja unajieleza huku mfukoni mkavu kama nini lohDuh ... miss chagga kwahiyo mnaangalia pesa tu
pesa ndiyo muhimu si unakuja unajieleza huku mfukoni mkavu kama nini lohDuh ... miss chagga kwahiyo mnaangalia pesa tu
Kho kho khoooooo...
Wabana PM mpooo??? Najua Asprin hajakosea...amesema "nyie ni wabaya eti mna sura kama mbuzi avata tuu zinawabeba"
Na hili kalifanyia uchunguz muda sana...
Tena papuchi zenu zikose huduma muhimu... sasa vipi kwa wanaume wabana pm?
pouwa bana mzima weye...ile mambo bana...
Mnaleta michosho tu hamna ishu, waja pm kuuliza kama nasoma au vepe mfyuuuuuu wataka kunilipia ada teh
wapi huko tena? lohnimekuona pahali...
u luk beautiful!!
nami nimekupenda aiseeee
njoo kwangu nikutich...
Mwingine msg nne zote salamu, anaanza hi,mambo? Habari yako? Isue niaje? Mzima lakini?, sasa unajiuliza huyu mtu daktari? Sijui ni kukosa kazi!!
Mwingine msg nne zote salamu, anaanza hi,mambo? Habari yako? Isue niaje? Mzima lakini?, sasa unajiuliza huyu mtu daktari? Sijui ni kukosa kazi!!
Huku ndio utanielewa vizuri zaidi, naomba unifundishe kutuma pm nataka nikamtongoze Kaboom
Anaanza mambo wamjibu poa, anarudi tena ishu vipi wamjibu tena fresh, hachoki mishe zinaendaje agrrrr qummmamae hv tupo jukwaa la salamu au