Kumpokea kifalme ngeleja ni kumsaliti mh jk.....! Huyu ameshindwa kazi,msaidizi wake ameingia kwenye baraza jipya, huyo hafai........... Mwanza alikuwa ananyoa kwa shs 50,000 wakati bei halali ni shs 3000,huyo ni mwizi anatakiwa kuchunguzwa!
Deo Filikunjombe, mwacheni atulie tayari ameonyesha kuwa ni mtu anayekubali mabadiliko ya kweli..... MAGAMBA WANATAKA KUMTOA KAFARA, Kwenye kampeni mlikuwa wapi kutoa taarifa hizi? acheni hizo!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.