Recent content by KING FIRDAUS

  1. K

    CV ya Anne Makinda na utitiri wa madaraka na Advance Diploma tutasalimika kweli???

    Akili ni nywele.....ndio maana anaweka wigi
  2. K

    Street Child to Soccer Star " Documentary Mpya ya TSC sports Academy - Mwanza

    Ni Docomentary nzuri imefanywa na mchezaji wa kimataifa wa Cameroun.. huu ni mfano wa kuigwa
  3. K

    Nisaidieni wana CCM. Nikijunga na CCM nitaitetea CCM kwa hoja gani?

    Kama hujui unakwenda kutafuta nini CCM....! NENDA SHAMBANI KALIME
  4. K

    Kifo cha CCM kimetimia

    walikuwepo na sasa hapo tena,kila linaloendelea hapa duniani,siku za usoni itakuwa ni historia
  5. K

    Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

    Kazi inaanza upya!
  6. K

    Yaliyojiri katika Maandamano na Mkutano wa Wapinzani Jijini Dar - Feb 10, 2013

    ​Haki hata ibakwe vipi ipo siku itadhihirika......! Wapinzani lenu liwe moja
  7. K

    Lema na Millya kuvamia Kahama, Tarime na Bukoba.

    Kazi ipo.... nimesikia Millya anarudi Magamba
  8. K

    CHADEMA wasusia Interview ya TBC 1

    SAFI SANA PEOPLES... Wembe ni huo huo, TBC ni kituo cha Mabwenyenye
  9. K

    KAGONGWA (picha?)

    Hivi... Kama unakwenda kahama,kangongwa iko mbele au nyuma ya kahama?
  10. K

    John Shibuda na mgogoro wa Kauli ya kuisifia CCM; Kauli za wana CHADEMA

    SHIBUDA HANA Meno,ni sawa na debe tupu ambalo siku zote haliishi kupiga kelele,gamba bado halijamvuka.....! CDM mpuuzeni hana jipya
  11. K

    MKUTANO WA CHADEMA BUKOBA MJINI kata Ya RWAMISHENI

    JJB TUPE kinachoendelea huko
  12. K

    Ngeleja kupokelewa Kifalme!!

    Kumpokea kifalme ngeleja ni kumsaliti mh jk.....! Huyu ameshindwa kazi,msaidizi wake ameingia kwenye baraza jipya, huyo hafai........... Mwanza alikuwa ananyoa kwa shs 50,000 wakati bei halali ni shs 3000,huyo ni mwizi anatakiwa kuchunguzwa!
  13. K

    Msikilizine Risasi Maulanga anaongea live Star TV

    STAR TV wawe waangalifu kualika watu kama hawa " huyu mwaulanga siku nyingine anajifanya mdau wa michezo" SHITT!
  14. K

    Deo filikunjombe mtu msafi je petrol station yako kwanini uliuza wakati wa kampeni??

    Deo Filikunjombe, mwacheni atulie tayari ameonyesha kuwa ni mtu anayekubali mabadiliko ya kweli..... MAGAMBA WANATAKA KUMTOA KAFARA, Kwenye kampeni mlikuwa wapi kutoa taarifa hizi? acheni hizo!!
Back
Top Bottom