CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
nimeshaandaa ndizi kisukari mbili na pili pili mbuzi mfukoni. nakaa mkao wa kula. lazima nizamie hilo punga. issue si kuvaa tu kijani.
nimeshaandaa ndizi kisukari mbili na pili pili mbuzi mfukoni. nakaa mkao wa kula. lazima nizamie hilo punga. issue si kuvaa tu kijani.
Baada ya Mh. Jk kumpiga chini katika Baraza lake la Mawaziri. Chama Cha Mapinduzi katika jimbo lake la Sengerema kinamuandalia mapokezi ya kifalme hapo kesho, ambapo atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara.Namwona anawabembeleza wamtembelee atakapokuwa kwende jimbo lake jipya na teule la Ukonga prison.Asisahau kumwomba Nchimbi amwamishie jimbo la karibu ng nyumbani-Butimba prison
Wewe ni libwegwe fulan,unakumbuka shuka kumekucha.Wewe pamoja na akili yako ilivyo dull hujiulizi ni kwa nini maeneo ya kaskazini mwa nchi,mikoa ya arusha na kilimanjaro ipo juu kimiundombinu(umeme na barabara za lami) hadi vijijin kuliko mikoa kama rukwa na kigoma? Huon kwamba kuna tatizo,leo unapiga makelele,eti ngeleja kapeleka umeme katika vijiji 6,huo ni usenge.Viongozi wa zaman kutoka kaskazin kama akina msuya,eliufoo,mramban nk inabid washtakiwe kwa kuwabagua watz,akina ngeleja wamefuata mambo yao ya kibaguzi.Haya mambo ndio yatakayotuletea matatizo watz.Wana haki ya kumpokea kishujaa. Kuna hotuba moja Mama Kilango aliitoa Bungeni akisema hataki kununuliwa chai na Ngeleja akasema Waziri anapeleka umeme kwenye vijiji 6 kwenye jimbo lake wakati wananchi wa Same hawana umeme. Hivyo si ajabu huenda Sengerema imejaa umeme.
Ameandaa pilau nini? Maana wanachama wa ccm kwa pilau huwawezi wapo radhi wasafiri toka dsm mpaka segerema
Kumwandalia mapokezi mtu anayetuhumia kwa ubadhilifu wa raslimali za nchi ni ushabiki usio na maana.Wananchi tunapaswa kushikamana na kuwakemea wale wote wanaofanya vitendo vya kuihujumu nchi yetu hata kama ni 'wenzetu'.
Yote hii ni kwa sababu ya IGP Mwema Said, na Dr. Hosea na TAKUKURU yake halafu eti wenyewe hawapelekwi mahakamani, unadhani angekuwa amefunguliwa mashtaka na kusimamisha mali zake ili zichunguzwe kwanza kama ni safi, wasingempokea hata kidogo. Juu ya umeme, mi jana tu nimepita Sengerema, ni mafuriko kila mahali na umeme upo pale pale paitwapo mjini Sengerema. Umaskini hamna tofauti na Igunga, iliyopata kusemwa na mzee wa 'siasa uchwara' kuwa ni kitovu cha maendeleo kwa Tabora!!!! Aibu kwetu TZ...
Kwa hili.......Bora uchaguzi uwe kila siku :hail:
Acha majungu mkuu!
Baada ya Mh. Jk kumpiga chini katika Baraza lake la Mawaziri. Chama Cha Mapinduzi katika jimbo lake la Sengerema kinamuandalia mapokezi ya kifalme hapo kesho, ambapo atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara.