Duh pole mzee, mtafute ndugu mmoja mwenye hekima ,mchane ulimpenda ndugu yao kumbe alikuwa kicheche. Hiyo mimba sio yako kama wanabisha muingie mkataba ulee mimba ila ukipimwa DNA mtoto asiwe wako wakulipe. Au option ya kurecord ili amsikilize mwenywe itakuwa poa zaidi.
Mawe ni ngoma ya zamani? Video je? Maana ni muonekano wa blue currently
"lala na mbango na team haitavunjika. Napiga collabo na mwanangu wa maisha " Maneno ya Byser.
Sent using Jamii Forums mobile app
Last days, Mzungu anaamini ataikimbia adhabu kwa kwnda sayari nyingne ila anasahau there will only be lake of fire na heaven and nothing else.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.