Ndugu zangu Mimi ni msichana,nimesomea masuala ya afya au nursing, elimu yangu ni ngazi ya diploma, pia coz ya TFDA pia nimepitia ambayo ni muhimu sana, natafuta kazi iwe kufanyia dispensary, hospital in I au kuuza duka LA dawa baridi za binadamu nipo tayari kwa sasa nipo morogoro kuna kituo...
Hata vya serikali pia vipo, but anatakiwa kuwa makini soon watakapo fungua usajiri nafikir mwez wa tatu, mwez wa sita majibu wanatoa mwez wa saba had wa nane ndo muda wa chuo
OK sina uhakika kama uhasibu itafaaa, but aende uuguzi tu ndo soko LA ajira liliko, nowadays ualimu wanazingua especially ukianzia level ya certificate,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.