Sio kweli..,kwenye bible waliosema mbarikiwa walikuwa ni miongoni mwa wanafunzi na wafuasi walioamini mafundisho yake...waliosema asulubishwe ni wale walioamini katika torati ya Musa(Moses)...
Usilete mifano isiyohusika mahala
`Tunataka atambue na aelewe damu iliyopotea ndani ya chama hiki,a simple as that...tunakaa tukipanga usiku na mchana jinsi ya kuchukua dola mwenzetu asubuhi anapeleka information zetu usalama wa taifa halafu mnasema tukae tumzungumzie Zitto...Zito ni kama demu kwa kweli mnafiki kabisa
Tatizo la wengi wetu hapa jamvin ni kuwa na usahaulifu...nadhani tunakumbuka mwanzoni mwa usaliti wa Zitto,viongozi walimtumia kama shushushu kumchunguza Zitto na uchunguzi ulipokamilika aliwasilisha makao makuu,sasa usishangae haya yanayoibuka leo bado ni muendelezo wa ushushushu wake na...
NimemuelewA vizuri mleta mada kwa sababu hata mm amenifungua nilikuwa sifaham hata soko la kariakoo lilifunguliwa lini.....ila ww buchanan unajitoa faham kutaka kudissapoint mada lakin jamaa kaeleweka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.