JK akisimama na msanii/akiwakaribisha wasanii ikulu..mnamtukana na kumuita kiongozi msanii lakini kwa huyu anaonekana ni sifa na mnamsifia,..ulimbukeni!!
Hakuna hata sababu ya msingi uliyoianisha hapo,.. tukubali kuwa na ubalozi wa israel kwa sababu tu watufundishe kulima nyanya!? mara unajichanganya mwenyewe na mgogoro wa palestina oohh watu wanaipinga israel we ulitakaje sasa? na huo ubalozi ukiwepo itasaidiaje wasipingwe kama wanakosea...
Sasa na wewe unavyoshinda humu jamii forum unajifanya uko busy kwenye comp.unafanya kazi kumbe unapiga umbea ktk mitandao hao watu wa dini watakwenda kukusemea wapi?malizeni mambo yenu huko si kila kitu ulete ktk mitandao.sasa wao watapa wapi nafasi ya kujitetea?tutajuaje kama unawachafua tu...
Ucrain, North Uganda(Joseph konny-anapigania sheria za kikristo), South Sudan(wakristo wenyewe), Congo kinshasa, Rwanda,south korea...na nyengine nyingi hizo nazo ni nchi za kiislam??? jaribu kutafakari.
Acha uongo wewe unajadili kitu usichokijua,hiyo 3:110 haizungumzii hicho unachokisema, then sawa waislamu walishindwa kusoma ktk shule za zilizoko chini ya kanisa unachotakiwa kujua ni: hayo ni mazingira yaliandaliwa makusudi ili kuwanyima elimu baadhi ya watanzania wa dini nyengine
Shule...
Sio kweli mengi ni mtu mwenye tamaa sana inasemekana hata wafanyakazi wake wengi wao ni vibarua tu hawaajiriwi yeye mwenyewe ni dhulumati halafu utamwona anaandaa pilau na kuwakusanya walemavu ili aonekane ni mwema sana.....Kinachomsaidia mengi ni vyombo vyake vya habari na amejipenyeza mahala...
Kwa taarifa yako Hakuna mtu anaemuabudu Muhammad kama ilivyo wakristo wanamuabudu Yesu na kumuita mungu aliyepigwa na kutundikwa msalabani na wafuasi wake mwenyewe, Mungu wa waislam(Allah) ambae ni mmoja tu na hana mshirika na kitu chochote ndiye aliyemuumba muhammad, na viumbe wengine wote na...
Hayo ni mawazo yako lakini sisi waislam kwa mujibu wa dini yetu uislam ndio culture yetu na hiyo ni pamija na mavazi ya heshima na matakatifu, ni kweli kuna baadhi ya mavazi asili yake ni middle east lakini hayo ndio yaliyobarikiwa tayari na mungu kuwa ndio mavazi matakatifu hata ktk hiyo bible...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.