Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 11,879
- 18,168
Vita vya Rwanda vilisababishwa na ukabila baina ya wahutu na watusi na siyo udini!!Na vita vya Rwanda vya wenyewe kwa wenyewe vimesababibishwa na Ukirsto wao?
Vita vya Rwanda vilisababishwa na ukabila baina ya wahutu na watusi na siyo udini!!Na vita vya Rwanda vya wenyewe kwa wenyewe vimesababibishwa na Ukirsto wao?
Hizo vita zinazoendelea katika hizo nchi za kiislamu zimesababishwa na nchi za kikristo.
Mfano.
1.USA na washirika wake walideploy majeshi miaka kadhaa iliyopita na kuyapeleka iraq na middle east kwa kigezo kwamba kuna weapons of mass destruction kitu ambacho hadi leo wamekosa kukipa backup ya ushahid.
Wakazivamia nchi zile kumbe nia ni kuiba mafuta mwshowe wamepandika makundi yanayogombana yenyewe kwa wenyeewe na kuacha political instability kama ile.
2.Wakaenda libya nchi ambayo ilikua politically stable na kuivamia kwa kigezo kile kile cha uongo ili mradi waibe mafuta and yes they did.
Nato na washirika wake ambao ni nchi za kikikristo wakaivamia nchi ile our sister african country and guess what hakukaliki kule hao wote wakristo wamesababisha hivyo.
3.Wakaona hiyo haitoshi wakaunda group kama boko haram under CIA kisha wakaipa jina lao na kulinasibisha na uislam kisha wakalidump nigeria kwa sababu zile zile za oil.
Kumbuka huko ndiko kwenye utajir wa mafuta ili mradi tu wafanikiwe nia yao ili kutimiza malengo yao baadae waache political instability km kawaida yao.
Aibu sasa imeanza kuwashika baada ya watu wenye akili kuanza kugundua fitna zao.
Zipo ncho nyingi tu zenye waislam na kuna aman tu.
Infact uislam upo dunian kote iweje tusiskie vurugu sehemu kama Makkah ambako ndiko center ya kukutana waislam worldwide every year??
Acheni mambo yenu ya kutaka kuuchafua uislam.
Ulikuepo utawepo na utazid kuendelea kuwepo.
Islam is the best way of life.
And currently islam is the leading religion spreading throughout the world
Ukweli utasimama siku zote hata kama bbc cnn na aljazeera wataupiga vita.
Sasa wewe ukitakaje??
Uliposema nchi za kiislamu ulikua unatarajia reaction ya aina gani??
Yo have killed my dog you better hide your cat.
Kwa hiyo ningeziita nchi zenye Waislam wengi? Ni sawa na kusema USA ni secular state ingawa ukweli ni kwamba kimsingi ni nchi ya Kikristo hadi kwenye katiba yao na Wakristo madhehebu fulani wanaonekana kama second class Christians. Tusitafute terminologies. Mind you I am not condemning Moslems na mimi ni MwislamHeshima yako mkuu kwa Point ulizompa kijana hapo. Nchi ya kiislam ni ile inayofuata Shaariya.
Kama mnaweza kutafuta kitabu kinaitwa; "Islam the clock of antichrist."
Nitakuja baadaye kumaliza nachotaka kusema. Dunia ijiandae na mifumoko ya bei sababu ya mafuta yatapanda bei kama nyakati za vita ya iran na iraq.
The king.
Ukiondoa Joseph Konny ambaye anapigania sheria za kikristo, nchi zingine zote ulizoziorodhesha zinapigana kutafuta haki! Ni vita baina ya watawaliwa wanaodai haki zao za msingi za kibinadamu na watawala wanaowanyonya na kuwanyanyasa watawaliwa bila kufuata misingi ya demokrasia!Ucrain, North Uganda(Joseph konny-anapigania sheria za kikristo), South Sudan(wakristo wenyewe), Congo kinshasa, Rwanda,south korea...na nyengine nyingi hizo nazo ni nchi za kiislam??? jaribu kutafakari.