Recent content by kinashe

  1. K

    Serikali iachane na suala la utumishi ktk uombaji wa ajira-Tupilia mbali utumishi

    Ushauri mzuri ungekuwa kuongeza taasisi nyingine na wakala ili ziingie katika utaratibu wa utumishi kupunguza magumashi ya ajira katika taasisi husika..., kila mtu anajua ni kiasi gani inakuwa ngumu kuajiriwa maeneo kama TPA etc.... Hongera utumishi kwa kuwapa watoto wa masikini nafasi....
  2. K

    Post Muungano Zanzibari kunawiri

    Wakiondoka Waznz mutazidi kubaguana kwa makabila hapa Tanganyika na wafugaji na wakulima. teeeh teeeh mawazo potofu...
  3. K

    Informal Sector: Jionee utajiri wa mchekeshaji Masanja mkandamizaji

    majebere;9132738]Sasa hiyo hela ya kubadili mboga ndio mnaona utajiri? Aisee bongo bado sana. Hivi utajiri unaanzia kiasi gani ? Ukitutajia 'net worth' itakayofanya mtu aitwe tajiri utakuwa umesaidia wengi ili wajue watu sahihi wa kuwaita matajiri
  4. K

    Unahitahi new Samsung phone?

    eneo lako la biashara ni wapi ?
  5. K

    Uhuru siyo kama marais wengine Afrika Mashariki, oneni

    hapo kwenye magari nane siyo kweli nimeona msafara citizen tv. Baadhi wanalaumu kuwa na msafara mkubwa wa magari 40 toka Nairobi mpaka Namanga na walitumia lane zote mbili za barabara,maana yake barabara ilifungwa for almost 5 hours kupisha msafara.
  6. K

    Tofauti kati ya Lembeli na Mwakyembe

    yale yale tu, mbona ripoti haikutaja wahusika ambao ni wabunge .
  7. K

    Madhara ya mnara wa mawasiliano

    ninakaa karibu na umeme wa msongo mkubwa , je kuna madhara ?
  8. K

    Samsung galaxy s4 clone

    Katika pita pita za kuangalia simu gani yenye OS ya android itakayofaa nimeona kuna simu inaitwa samsung galaxy s4 clone. Kutokana na bei yake kuwa ya kuridhisha around 400k nilivutiwa kuimiliki. Kabla sijainunua nimekuja jukwaani ili kupata maarifa yatakayonisaidia kufanya uamuzi sahihi zaidi...
  9. K

    Mambo 11 usiyoyajua kuhusu msanii Diamond sukari ya warembo

    alimaanisha kiingereza ,sio kila muda tunafikiria vibaya kuhusu imani tofauti , I hope utakuwa umeelewa.
  10. K

    Majivuno ya Sebastian Ndege Siasa na Buridani

    hii ni ganja au unga (heroin au cocain).......
  11. K

    Nokia lumia 620 mpya inauzwa

    Ahsante
  12. K

    Nokia lumia 620 mpya inauzwa

    nasikia hizi simu hazikubali codes za huduma za ziada kama M-pesa, mwenye uelewa zaidi wa hili naomba ufafanuzi.
  13. K

    Azam TV - hatujagawa tajiri na masikini, kuanza rasmi november 2013

    Hii ni biashara, unachagua panapokulipa, ITV wana haki ya kukubali au kukataa kulingana na mipango yao ya kibiashara.
  14. K

    Madereva wa magari ya abiria wa kwenda mikoani wamegoma

    Kweli kuna mgomo abiria wengi wamekwama hapa ubungo .
  15. K

    Ni kiwewe, woga na kutojiamini: CHADEMA kumlalamikia BALOZI na kumwacha SHIBUDA

    kwa swala la Shibuda, Chadema wanatumia busara ya hali ya juu kuepusha nchi kuingia gharama za uchaguzi mdogo. Wangekuwa wanakurupuka wangemuondolea uanachama,automatically na ubunge angevuliwa, madhara yake ni gharama kubwa za uchaguzi mdogo ambazo zingeweza kuepukika kwa kumpuuza katika yote...
Back
Top Bottom