Samsung galaxy s4 clone

Samsung galaxy s4 clone

kinashe

Member
Joined
Jul 25, 2013
Posts
21
Reaction score
2
Katika pita pita za kuangalia simu gani yenye OS ya android itakayofaa nimeona kuna simu inaitwa samsung galaxy s4 clone. Kutokana na bei yake kuwa ya kuridhisha around 400k nilivutiwa kuimiliki. Kabla sijainunua nimekuja jukwaani ili kupata maarifa yatakayonisaidia kufanya uamuzi sahihi zaidi ,nikizingatia uwezo,camera na vyote ambavyo ni muhimu katika simu ya kisasa.
 
Katika pita pita za kuangalia simu gani yenye OS ya android itakayofaa nimeona kuna simu inaitwa samsung galaxy s4 clone. Kutokana na bei yake kuwa ya kuridhisha around 400k nilivutiwa kuimiliki. Kabla sijainunua nimekuja jukwaani ili kupata maarifa yatakayonisaidia kufanya uamuzi sahihi zaidi ,nikizingatia uwezo,camera na vyote ambavyo ni muhimu katika simu ya kisasa.

Hizi simu sio mbaya lkn kuwa na makini na BEI yake tu

Ubovu wake ina data za Uongo kuna jamaa yangu kanunua S4 mini CLONE kuangalia storage ni 16GB lkn ukiweka kwenye PC uweke file la 10GB inakwambia "Some required space of 9GB is required to copy this file"
HIvo ni S4 lkn data za uongo kabisa lkn simu kiukweli nimeipenda lkn angalia usibamizwe BEI kubwa naifanyie analysis ya maana kabla ya kununua

Credits to chief-mkwawa
https://www.jamiiforums.com/matanga...u-simu-za-galaxy-s4-s3-note-2-za-kichina.html
 
Samsung galaxy S4 clone ni copy za samsung original ambazo hutengenezwa na wachina na zinatofautiana quality kulingana na aliyezitengeneza cha kukusaidia hizo simu hupatikana kwa kuanzia 250,000 mpaka 400,000 usikubali kuuziwa zaidi ya hapo cha pili angalia camera yake kama inapiga picha zenye quality, check internal memory, angalia graphics na display yake vile vile nakupa hizi code amabzo hutumika kutambua kama samsung ni original kwa kuwa unayoinunua ni fake basi jaribu kucheck kama ina pass at least 70% ya vigezo na code hizo ni *#0*# hapo utacheck functions zote za za simu
*#0228# kujua uwezo wa battery
*#44336# kujua software ya simu
*#7353# kujua uwezo wa hardware za simu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom