Mambo 11 usiyoyajua kuhusu msanii Diamond sukari ya warembo

Hupendi? Hutaki? Huamini? Wacha vijana wanaojituma wale matunda yao

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Im sooooo proud of Diamond.
I cant wait siku moja kumuona akipokea tuzo za mtv music award sambamba na akina justin Bieber.
Inawezekana.
hapa aisee weka replay, manake haijachezeka vyema hii.
 
we nawe muislamu mwenzangu umechemka! kama umeishia madrasatul bin Laden's acha kuingiza udini. diamond anapendwa zaidi na wadada tena wengi wao ni wakristo na baadhi wamediriki kubadili dini kumfuata. .. ndg zetu wakristo nawaomba msamaha kwa ajili y ndg yng wa madrassatul

alimaanisha kiingereza ,sio kila muda tunafikiria vibaya kuhusu imani tofauti , I hope utakuwa umeelewa.
 


1. Ana utajiri unaozidi shilingi bilioni 1.

2. Yupo kwenye mazungumzo na promoter wa Rwanda kufanya show moja ya uwanjani ambayo anaweza kulipwa dola 120,000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 190.

3. Malipo ambayo hupokea kwa show zake nyingi za nje ya nchi hayashuki chini ya dola 25,000.

4. Tangia mwaka 2011 mwishoni akaunti yake haijawahi kushuka chini ya shilingi milioni 100.

5. Anamiliki nyumba kadhaa alizopangisha.

6. Wimbo Mawazo alimwandikia Jacqueline Wolper ambaye alikuwa mpenzi wake.

7. Kamwambie na Mbagala alimwambia mpenzi wake aitwaye Sarah aliyemkataa (Diamond) sababu hakuwa na uwezo.

8. Ukimwona alimwandikia Wema Sepetu baada ya kumsaliti.

9. Ili kuvunja mkataba na aliyekuwa meneja wake Papa Misifa, ilibidi amlipe shilingi milioni 18.

10. Ana timu (anayoilipa mshahara) ya watu zaidi ya 12 wakiwemo dancers, mtu wa mavazi, msaidizi wake, wapiga picha wawili nk
11. Ana mkataba mnono na Coca cola wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mia kwa mwaka



Hapo kwenye #5 mkuu naona unatupiga Kamba za USO vaba,,,ye mwenyewe kapanga hapo Sinza Mori au na ile kajipangisha? All in all jamaa anajua
 
umesahau moja kuwa ni mbeba sembe mzuri ndio umuingizia hela nyingi sana.


Hii alifanya sana mwanzo kabla ya kutonywa, ila wasanii wengi sana kipindi kile walivuta pesa za hajabu maana before kulipuliwa walikuwa kila kukicha wako South Afrika hata wale waliokuwa one hit wonder eti nao utawasikia nimepata mkataba kupiga show nje, kwa muziki upi au nyimbo gani?
 
Back
Top Bottom