Uhuru siyo kama marais wengine Afrika Mashariki, oneni

Uhuru siyo kama marais wengine Afrika Mashariki, oneni

Katiba MBOVU huzaa rais MBOVU na Katiba BORA/NZURI huzaa rais BORA/MZURI. Tafakari CHUKUA HATUA
 
Our president likes celebrities and actors,the likes of Steven Seagul!Uhuru is much more briliant
 
Msafara.PNG Msafara1.PNG
 
Maoni yangu ni kuwa tukutane Chalinze

Hivi miaka na miaka mpo Chalinze/Bagamoyo halafu mulichoweza kukifanya ni kujenga shule kama hii kisha mnajisifia na kutamba tukutane Chalinze? Kweli nyie mumelogwa. Yaani katika Ulimwengu wa wastaarabu hamkupaswa hata kusimamisha mgombea ila kwa vile wapiga kura ni hao mlio wasomesha kwenye shule kama hii basi sio ajabu mkiwapiga pilau ndio imetoka hiyo.
View attachment 147051


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Eti kapunguza mshahara,mbona hajawagawia wananchi ardhi?huko ni kuficha makucha tu,yeye ni miongoni mwa watu waliofadhili mauaji ya kenya 2007,afidie bac na uhai wa watu,acheni viroba nyinyi watoto wa chopa.
 
Na kuna mswaada upo mezani unamsubiria kusaini....ule wa kuruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja...
 
sio hapendi kuzurura, hakuna wakumualika. nakumbuka alienda Urusi wala rais Putin hakuhangaika nae, na baada ya hapo akajipeleka China nako akapokelewa kwa kusuasua tu. Tofauti na Vasco Da gama wetu. mara kaalikwa Ufaransa, mara Obama kamualika, Mara kaitwa Yemen mara Rais wa china kaja, mara kaalikwa kwenye Economic forum conference and so on......
kwa kifupi ni watu wawili tofauti.

''Ikumbukwe huyu rais hapendi kuzurura nchi za watu anaamini uchumi wa kenya sio yeye peke yake anaweza kuuinua ndio maana kadeligate power kwa waziri wa mashauriano ya kigeni..ana nguvu sana.''

Mmmmh! vizuri then kama huwa anaalikwa, me nilijua anajitafutia mwenyewe mialiko
 
Unaweza usiamini. Hawa watu wanamatatizo ya akili. Niliwahi kuona shule hii mkoani Kagera na jamaa wanatuambia tumethubutu na tumeweza. Mbafu kabisa ImageUploadedByJamiiForums1395739739.210082.jpg
 
hapo kwenye magari nane siyo kweli nimeona msafara citizen tv. Baadhi wanalaumu kuwa na msafara mkubwa wa magari 40 toka Nairobi mpaka Namanga na walitumia lane zote mbili za barabara,maana yake barabara ilifungwa for almost 5 hours kupisha msafara.
 
hapo kwenye magari nane siyo kweli nimeona msafara citizen tv. Baadhi wanalaumu kuwa na msafara mkubwa wa magari 40 toka Nairobi mpaka Namanga na walitumia lane zote mbili za barabara,maana yake barabara ilifungwa for almost 5 hours kupisha msafara.

Hapo arusha kafika na magari mengi lakini ni ya tanzania walienda kumpokea eti.
 
A plane was about to crash and
there were only four parachutes on
the plane. Meanwhile there were
five people on it. The first person,
Lionel Messi, said, "I'm the world's
best footballer right now, I cant die
now!"
So he took one of the parachutes
and left. The second person, Bill
Gates, said, "I'm the richest man on
Earth, I can't die now, I'm needed in
the world!"
So he took the second parachute
and left. The third was the
Tanzanian President and he said,
"I'm the smartest President in the
world, so I cant die now, my people
still need me!"
So he took one and left.
Then it was left with the Pope and a
little school girl. The Pope said to
the little girl, "Take the last one, I'll
sacrifice my life for you."
The little girl replied, "No need for
that, There are two parachutes left."
The pope asked her, "How come?"
The little girl replied, "The
Tanzanian President took my school
bag." Ndio Huyu wa kwetu???

Hahahaa Mkuu Elli Umeua Hahahaa 😀 😀..
 
Last edited by a moderator:
makubwa leo jamii inasifia mtoto wa rais uwiii huku kwenu mnawanyanyapaa, wapi ridhiwani
riz hana makuu kijana wa watu,walivumisha,''ooh amekodi helcopter mgodini afanyie kampeni''.

Wapi helcopter.
 
Uhuru ni zuga tu kama biashara aliyo nayo inaweza ingiza hiyo 20% ya mshahara wake aliopunguza mara 2000 kwa siku hiyo si utani kwa wananchi wake

Kama mzalendo afanye kazi yake bila kulipwa zaidi apate hizo stahili zake za urais tu tujue uzalendo wake
 
A plane was about to crash and
there were only four parachutes on
the plane. Meanwhile there were
five people on it. The first person,
Lionel Messi, said, "I'm the world's
best footballer right now, I cant die
now!"
So he took one of the parachutes
and left. The second person, Bill
Gates, said, "I'm the richest man on
Earth, I can't die now, I'm needed in
the world!"
So he took the second parachute
and left. The third was the
Tanzanian President and he said,
"I'm the smartest President in the
world, so I cant die now, my people
still need me!"
So he took one and left.
Then it was left with the Pope and a
little school girl. The Pope said to
the little girl, "Take the last one, I'll
sacrifice my life for you."
The little girl replied, "No need for
that, There are two parachutes left."
The pope asked her, "How come?"
The little girl replied, "The
Tanzanian President took my school
bag." Ndio Huyu wa kwetu???


Wengine hatuna health insurance mkuu. Nimecheka mbavu zikaanza kuuma, nikakumbuka sina medical insurance. But you made my day mkuu.
 
Back
Top Bottom