Recent content by Kimura_shinji

  1. Kimura_shinji

    Hivi kuna aliyekutana na hii kitu shuleni au ni mimi tu?

    Irene Lemunge dah!nyanza primary hiyo. Alikua ananukia hiyo harufu hata leo nikiskia nitaitambua.
  2. Kimura_shinji

    Mapenzi: Muogope sana mwanamke mweupe na mwenye makalio makubwa

    Manaal Manaal huyu mtoto wa Mecco south.
  3. Kimura_shinji

    Mapya yaibuka sakata la Wakurugenzi DSTV kusimamishwa, mapenzi pia yahusishwa!

    Ndiyo siri ya mtungi walifanya vizuri. ,yani mambo yanayotokea kwenye jamii.
  4. Kimura_shinji

    Mapya yaibuka sakata la Wakurugenzi DSTV kusimamishwa, mapenzi pia yahusishwa!

    Your tisa ila Mpali ni bonge moja la tamthiliya yani najiuliza Bongo movie wamezidiwa hadi na wazambia kweli!
  5. Kimura_shinji

    The Woman King - Official Trailer

    Ni kweli mkuu na ndo maana ikandikwa "imekua inspired by true events"ila mwisho wa siku wamejitahid sana kina "Viola Davis".Story n inasisimua iwe ni challenge kwa wandishi wetu na actors wetu wa bongo na wadau kwa ujumla.
  6. Kimura_shinji

    The Woman King - Official Trailer

    Hizo critics unaweza angalia "rotten tomatoes "all in all the movie was superb,🙌🏾
  7. Kimura_shinji

    The Woman King - Official Trailer

    Critics Critics "baadhi"kwamba hao worriers (women)hawakua real heros kukataa kuwauza, makabila ya wenzao utumwani Bali ndo walikua wanaongoza kuuza wenzao.
  8. Kimura_shinji

    The Woman King - Official Trailer

    Japokua wanasema story imechangaywa ila asee ilikua poa Viola kafanya balaa.
  9. Kimura_shinji

    The Woman King - Official Trailer

    Nimeicheki jana aisee wamefanya vizuri
  10. Kimura_shinji

    Marvel Cinematic Universe special thread

    Tayari "just Jen"Sema Mimi nimeilewa hii series u comedy wake pengine kwasababu labda sijamsoma she-hulk wa kwenye comics,tatizo ka series km dk 20 tu hapo ndo wameboronga,angalia hii episode kama kuna next episodes zimebaki basi things zinaenda kua ugly.
  11. Kimura_shinji

    Ni kweli USA supremacy ina collapse?

    Mkuu haitaji rocket science kujua hili,ajaribu tu kufikiria kwenye ukoo yule mwenye utajili wakutisha na yule wakawaida ni nani mwenye ushawishi?.Sasa sijui mtu anakuaje na uchumi mkubwa afu asiwe na ushawishi!
Back
Top Bottom