Recent content by KimIlSung

  1. KimIlSung

    Je, ni Changamoto zipi Unazopitia Katika Freelancing?

    Karibu. Naitwa Musa Buzelengule . Ni Upwork Freelancer . Nina 300+ Earnings kwa Sasa . Naomba kujua ni changamoto zipi zinafanya watu wasipate kazi ya Kwanza?
  2. KimIlSung

    Kikwete Alitupiga za Uso Mwaka 2013

    Wamrekani na Wachina Tuwe nao makini Sana Maana ni Watawala wetu Tangu 1970s Wametuvumilia Tu Ila Ipo siku Tutaelewa Tu. Picha 1. Bagamoyo Port 10 B USD Deal 2.USA Kigamboni Mega Deal Military Base. Tulipigwa.
  3. KimIlSung

    Nahitaji mtu wa kunitengenezea App ya android kwaajili ya blog yangu

    Nitafute Inbo Blog Yangu Ni https://asilimusictz.blogspot.com/ Na App Ni Asili Music Tanzania
  4. KimIlSung

    Msaada: Nahitaji Latest Photo & Video editing software for Windows

    Ni Ya Kutengeneza Intro ila ni outdated sana. Software Zote cracked unazipata getintopc.com
  5. KimIlSung

    Nimeamini viongozi wengi waliishi na Magufuli siyo kwa dhati ya mioyo yao bali kwa unafiki

    Acha Kufuatilia Maisha ya Viongozi .Ukipata Hela Utaacha
  6. KimIlSung

    Naomba kuuliza hivi kuna Internet Download Manager App Kwa ajili ya MAC Computers

    Vumilia kutumia browser si hukujua hasara ya iOS
  7. KimIlSung

    Nna kitanda changu kina zaidi ya Mwaka hafu bado Bikira!

    Ukipata Hela Huu Ujinga Utaacha
  8. KimIlSung

    Utapeli mpya kupitia kampuni ya Azam

    Ni Kitabu Cha Simulizi Gani Nikakinunue Mkuu?
  9. KimIlSung

    Dpp 250 - printer... Machine ya kutolea lisiti

    Tutajuaje kwamba hiyo siyo ya kichina? .Tunapiga hapa
  10. KimIlSung

    Je, WasafiBet ni ya Diamond Platinumz? Ukweli huu Hapa

    Nanufaika na Odds za WasafiBet. Jaribu kuelewa lengo la Content hapo juu
  11. KimIlSung

    Je, WasafiBet ni ya Diamond Platinumz? Ukweli huu Hapa

    Hapana Maneno Mengi YanaSambaa Lakini Nadhani Hii Ni Final Na Sina Wivu Na YeYote
  12. KimIlSung

    Je, WasafiBet ni ya Diamond Platinumz? Ukweli huu Hapa

    Wasafi bet, ni Kampuni Iliyoundwa kwa makubaliano(Partnership)baina ya kampuni ya kubeti ya nchini Kenya inayoitwa Odibet, Mliliki Wa Odibets ni Jimmy Kibaki (Mtoto Wa Raisi Wa Zamani Wa Kenya Mwai Kibaki) Hapa Ndipo Tunapojua Kuwa Kumiliki na Kuendesha Michezo hii Inahitaji Pesa Nyingi Sana ...
  13. KimIlSung

    Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

    Inategemea na Bidhaa unazoanza navyo katika biashara lakini mtaji huwa unatosha siku zote.
Back
Top Bottom