Utapeli mpya kupitia kampuni ya Azam

Utapeli mpya kupitia kampuni ya Azam

Mkuu hebu orodhesha vizuri vitu alivyo ibiwa!
Laptop Mac mpya 1, laptop 2 za kawaida, External, Simu 2 Smartphone's, 100,000 cash Na vifaa vingine. Vidogo vidogo kwa ajiri ya office yake!
 
Laptop Mac mpya 1, laptop 2 za kawaida, External, Simu 2 Smartphone's, 100,000 cash Na vifaa vingine. Vidogo vidogo kwa ajiri ya office yake!
Ok let say
Mac mpya = 1M
Laptop 2 each 1M =2M
2 Smart phones each 300000=600000
Cash 100,000
Total 3,700,000
Vitu vya ofisi kwakuwa havina jina hatuwezi kuvipa thamani!
Na hayo ni makadirio ya juu...
Hivyo basi bado taarifa zako zina zua maswali...
Hivi hivyo vifaa alikuwa amevibebea wapi?
Kwenye gari alikuwa peke yake?
 
Ok let say
Mac mpya = 1M
Laptop 2 each 1M =2M
2 Smart phones each 300000=600000
Cash 100,000
Total 3,700,000
Vitu vya ofisi kwakuwa havina jina hatuwezi kuvipa thamani!
Na hayo ni makadirio ya juu...
Hivyo basi bado taarifa zako zina zua maswali...
Hivi hivyo vifaa alikuwa amevibebea wapi?
Kwenye gari alikuwa peke yake?

Stori ina loopholes kibao....
 
Jamaa yangu amepanda Daladala, akisubiri abiria wajae ili Bus liondoke, baada ya muda anaingia jamaa akiwa amevaa T'shirt ya Azam, Kofia ya Azam, in short yuko uniform kwa Sale na akionekana anafanya kazi Azam, smart vya kutosha.

Jamaa anaingia na kukaa siti ya mbele yake, baada ya muda ananyanyuka na kuja kukaa siti moja na jamaa yangu, baada ya salam na story mbili 3 jamaa akajitambulisha anafanya kazi Azam, jamaa yangu Ana kampuni yake inayojishughurisha na kazi flani, akatumia nafasi hiyo kuuliza mambo flani kuhusu Azam kuona kama anaweza anaweza kupata connection yoyote, baada ya story za hapa na pale mdau wa Azam akafungua begi akatoa Juice ambayo ilikua kwenye Kopo kama la Heineken vilevile, mdau akalifungua akaanza kunywa, akamwambia Jamaa yangu, Azam wana bidhaa mpya, na wao wanapita mitaani kupata Mawazo ya wadau kuhusu bidhaa mpya kabla hawajaingiza sokoni.

Akafungua begi akatoa kopo jingine akampa yangu, jamaa akaanza kusoma Maelezo yote yaliokua kwenye ile label, Ina nembo ya Azam kama kawaida, Jamaa yangu baadaye akaiweka kwenye begi lake akisema ataionja akifika home vile hapendi kulakula njiani, but baadaye akaona atakua hajamtendea haki jamaa, coz mdau angehitaji feedback, basi akaamua kunywa, akamwambia Ni nzuri sema Ina uchachu flani ambao haoni kama Ni mzuri....zilipita dakika kama 10 akazima, kuja kuzinduka baada ya siku 3 wamebeba vitu vya thamani kubwa na pesa, simu n.k jumla 5 millions na ushee!

Police wakamwambia kesi ya aina yako Ni ya 4, Muhimbili walimwambia wewe Ni mtu wa 6 kwa tatizo kama lako!

Tuwe take care Wadau!
Ni Kitabu Cha Simulizi Gani Nikakinunue Mkuu?
 
Back
Top Bottom