Nikama sijakuelewa ulivyomalizia uzi wako 'ACHA KUTUMIA JINA LA RAIS ILI KUVUTA WAUMINI. Kwani kutumia jina la Rais kunawavutia waumini? Na kwa nini waumini wavutiwe na jina la Rais likisemwa vibaya? Mmmh HAPA KUNA NAMNA.
Mkuu labda nikwambie hivi. Mashule, vyuo, mahospitali pamoja na miradi mingine mingi ni kwamba ipo chini ya RC lakini kiutendaji inajiendesha yenyewe. Kwa hiyo suala la kusema RC inafilisika eti kwa sababu wafanya kazi wa chuo flani hawajalipwa mishara halihusiani na dini nzima ya RC.
HATA...
Habari za jioni wanabody!
Kama swali lilivyojieleza hapo juu. Nimeshangazwa sana na kitendo cha watanzania wenzetu waliokuwa wakimsikiliza mubashara Mh JPM alipotangaza kuvunjwa kwa Jengo ya Tanesco na Maji pale Ubungo.
Binafsi nimejiuliza hivi hayo Majengo yanamilikiwa na nani na hiyo...
Nyie ndo watu mliokimbia mikoani sasa mko Dar mnakaa kwa Shemeji zenu mnafurahi kulala sebreni
Ona sasa dharau zenu. Kwa taarifa yako kwa watu wa mikoani hiyo issue ni ndogo. Demu akijibu hivyo ataitambua hela ni nini.
Nina dem wangu mjeshi ila bado aanaendelea na mafunzo na tumepanga kuoana hapo baadae, hivyo vitisho mnavyo niambia nimeghaili simuoi ng'oo atajioa mwenyewe.
Wakuu habari za mida hii,
Najua wengi mmechoka na mihangaiko ya hapa na pale katika kutafuta mkate wakila siku, huku Nchi ikiwa na vituko visivyoisha kila kukicha. Lakini mnashukuru siku zinakwenda.
Samahani kama ntakuwa nimeingilia habari zinazotrend nchini hivi sasa hasa hii ya kuachiwa...
Kwa nini wanataja deni hilo Interms of Dollar? . Wataje kwa mfumo wa Tsh ili na sisi huku Kolomije tusiojua Rate ya dollar tuelewe ni Tsh ngapi au tunaweza kuzipanga hizo hela barabarani zikafika hadi mpaka wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.