Wakati mwingine mijitu inapenda kuandika uharo mtupu kila kitu wapinzani wanakosoa tu sasa polisi wakamate au wakae na magari yalioisha road licence ili iweje kujaza nafasi tu vituo vya polisi upinzani si kupinga kila kitu.
Kujadili hili ni upuuzi Mkapa na Karamagi ndio chanzo cha matatizo yote na majibu wanayo wao pia huu upuuzi kama ungetokea China muda huu wangekuwa wameshanyonga mtu.
Tanzania ni nchi ya ajabu kabisa badala ya kufocus uhusiano mbaya kati ya polisi na watu kibiti, mkuranga tunadiscuss majina yao wakati tunajua mkoa wa pwani wengi wao waislamu...polisi wametoa hii taarifa kama kujifurahisha tu wakati wananchi wa kawaida wanapata tabu bora serikali ifanye...
Darassa hana uwezo wa kutunga mashairi mazuri hata wimbo wake muziki hakutunga yeye wimbo wake wa hasara roho ndio kiwango cha Darassa kilipo na wala hatokuja kufikia tena level za wimbo wa muziki hata siku moja nyimbo zake zake zote anazotunga mwenyewe zinafanana kama ilivyo hasara roho...
Cc:lizaboni...mkuu mara mwisho ulikuja na story DSTV wameshindwa kulipa pango wamewekaa vitu vyao viwanja vya leaders...leo umekuja na story ya perfume ya chibu Songea umehama kabisa upo Dar?mwache dogo afanye biashara wewe endelea na mambo yako ya lumumba kumsupport Magufuli na kumpinga Lowassa...
Sijasoma chochote wala kusikiliza chochote hapo juu ninachojua Lipumba ni mpuuzi njaa inasumbua na sigda kwenye paji la uso kama kitumbua hata sijui anaswali kitu gani zaidi ya kumpotezea mungu muda.
Tungemwacha tu Kikwete akapumzika kwa upande wa Magufuli katika maraisi wote watano waliopata kutawala Tanzania Magufuli ni raisi mbovu kuliko wote.. hakuna chochote atakachofanya cha maana kwenye utawala wake ukilalamika tu maisha magumu sembe hainunuliki mtaani unaambiwa wewe mpiga "deal"...
Mkuu nilivyoona story lugumi inabidi nicheke tu usanii mtupu hakuna wa kumuwajibisha Lugumi ndio maana kitwanga alijitia kimbelembele wakamla kichwa unless wanataka kodi kupitia vitenda vyake vidogo vidogo vya mambo ya ndani ambavyo ni propaganda tu but "real tender" nobody can touch Lugumi...
Upuuzi mtupu ....msajili na Lipumba lao moja hii ni sawa na mtu atembee na mkeo halafu awaite wewe na mkeo kuwasuluhisha kwa ugomvi ambao yeye ndio chanzo.
Faru John anajua fika vyeo vya Jaji mkuu na CAG ukimteua hauwezi kumtoa madarakani mpaka anastaafu mwenyewe so Jaji mkuu hawezi kurudia kosa kama anavyopata tabu kuhangaika kumtoa CAG ...anatafuta Jaji msukuma mkatoliki mpaka apatikane ndio atajaza hiyo nafasi.
Mimi nadhani wafanyakazi wa TFDA na familia zao wayatumie hadharani ili wawe mfano wa kuigwa si vizuri kufanya siasa kwenye afya za watu research hupingwa kwa research si kupiga blah blah wameshatugeuza wabongo maboya kwa upande wangu siwezi kuyagusa tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.