Recent content by Kimboko

  1. K

    Anachofanya Rais Magufuli sasa ni uchonganishi kati ya wananchi na Kikwete

    Yes, Majira na nyakati zake. Hiyo ni Mhubiri 3. Najua atafika pia TASAF kwa sababu ata kule ni kisehemu cha ikulu, kuna ufisadi mkubwa kama wa kumpelekea mwanakijiji maskini shilingi 50,000 eti ya kumtoa kwenye umaskini lakini anayepeleka analipwa 110,000/= kwa siku. Ataangalia pia wale...
  2. K

    Updates kuhusu BOT

    We ndugu yangu siyo hao BOT tu, kuna waliofanya interview za udereva PSPF tangu mwaka wa 2012/2013 hadi leo hakieleweki wameajiri au bado. Baya zaidi hawatoi taarifa kama kuna waliowekwa kwenye hizo nafasi na hawakufanya interview au vipi, ili wale waliofanya hizo sahili, maana zilikuwa nyingi...
  3. K

    Update za NHIF

    Wameshaita wanaowataka wakaacha wote waliofanya vizuri!!! Kwa taarifa tu ni kwamba walitoa majibu ya wanaowataka badala ya kutoa majibu kama TPDC kuanzia wa kwanza hadi wa mwisho. NHIF ni ubabaishaji mtupu ndugu zangu; kuna haja ya kujiajiri kuliko hizi ajira za kiupendeleo. Wameshafanya pamoja...
  4. K

    Nataka kujinyonga kwa kukosa kazi

    Huyu inabidi aombe TOBA sana kabla dengeu haijampitia. Kwani Adam alipewa kazi gani pale bustanini?? Hakupewa ofisi, duka wala ubunge ndugu; aliambiwa alime, atunze ndipo ale; kwa hiyo rudi shamba ndo kwenye kila unachakiona hapa mjini; acha mawazo potofu.
  5. K

    Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    Naomba ya lugha uliyotafsiri tafadhali.
  6. K

    Utata usaili wa mahojiano PPRA

    Pole ndugu; ata sisi bima ya afya wamefanya mambo kama hayo; badala ya kutoa majibu kwa wote waliofanya usahili wa kuandika ili kujua kila mmoja amepata max ngapi, wametoa majina ya walioitwa kwenye practical kwenye upande wa Driving. Sasa kinachoshangaza ni hivyohivyo; inakuwaje tujue...
  7. K

    PSPF Wameshaajiri Driverss au Bado???

    Wenye taarifa sahihi wandugu tusaidiane kijana wangu aliomba kazi yapata mwaka sasa, sijui kama wameshaajiri au wamefanya interview. Na inakuwaje inachukua muda mrefu hivi bila ajira????
  8. K

    Sophia Simba: CHADEMA wanatumiwa kuanzisha vita na Mataifa ya nje ili yapate soko la Silaha

    This is a second mwingulu nchemba. They used to accuse oppositions while is there plan, tumeshawastukia hawa. Kama siyo wao wawashitaki basi ili ijulikane kweli. Kina Hawa wengine kumponza adam kula tunda la mti wa katikati. AIBU DADA S SIMBA
  9. K

    kazi kwanza haki baadae

    Topic yako haiendani na maelezo lakini baila haki hakuna kazi ndugu, hiyo sahau.
  10. K

    Dr. Slaa ni Jembe

    Ameoa, hajaoa we jali kazi. Kazi ndo kitambulisho, unaweza ukaoa na ukwa unaibiwa na wanaume wenzio, sasa utakuwa umefanya nini; lakini kazi yako kwa wananchi ikiwa nzuri you will keep on helping them kwa matunda ya kazi yako leo na kesho. We hujui Adam aliangushwa na mwanamke pale Eden...
  11. K

    Dr. Slaa ni Jembe

    Unasifu huku unageuka tena kama wa ccm bwana we vipi. Ukimaanisha kazi ni kazi, hao walioenda kuzika wamerudi na nini!!! Waache wafu wazike wafu wao.
  12. K

    Ethiopian Airline Boeing 767 yatua Arusha kwa dharura

    Jana nilimsikia Mh. Mwakyenbe anamkanusha Mh. Nassari Joshua kuwa Ethiopia Airline haikupata ajali bali emergency landing. Tumeona tena leo taarifa ya habari ITV kwamba ajali ya ndege arusha watu 200 wanusurika kufa; je tumwamini nani kati ya Mh. Mwakyembe na Nassari? Tnawafundisha nini...
  13. K

    Wah: Wabunge na madiwani mnakumbuka wajibu wenu???

    Nawasalimu kwa Upendo kabisa. Sijambo lakini naomba ujumbe huu uwafikie wah. madiwani John Mnyika na wenzake wa kata ya golani na saranga hasa hasa madiwani maana ndo vingozi walio karibu na wananchi kumfikishia mbunge husika matatizo yetu. Tumeona barabara zote za mitaa ya wenzetu...
  14. K

    shotlist pspf

    Ingia kwenye web yao sasa hivi utakuta walioitwa for oral interview ndugu.
  15. K

    Mheshimiwa Wasira umemwona Mheshimiwa Kigoda.... Fuata Nyao!!!

    Nilikuwa napitia gazeti la mwananchi ya jana tarehe 5 March, 2013 kwamba mheshimiwa Kigoda ameipa rungu bodi ya TBS kufanya mabadiliko makubwa kwenye shirika la TBS, nami kama mdau wa biashara na maendeleo ya Nhci hii nakuomba uchukue hatua kama za mheshimiwa Kigoda kuzipa bodi za taasisi zilizo...
Back
Top Bottom