Recent content by Kimbioko

  1. Kimbioko

    Shida tunazopata hivi sasa hapa nchini zimesababishwa na mwendazake

    Shida ya Magufuli alikuwa mbele ya mda(kama karne moja)..Sera zake alitakiwa zikelezwe mwaka 2100,ndo wangemuelew...Matanzia wenye akili za kawaida hatutokuja kumuelewa hata kidogo,maana uchumi wa Kibepari ni complex sana na unaendeshwa kibabe na kisomi sana,matabaka yanayolengwa (hasa jamii za...
  2. Kimbioko

    Bible na Quran zinasema kutakuwepo na mwisho wa Dunia

    KIKUBWA NI MOYO WA IMANI KWA MUUMBA PEKEE,DINI NI MILUZI INATUPOTEZA TU NA KUTUFARAKANISHA..
  3. Kimbioko

    Nateswa na ugonjwa huu wa ajabu, msaada tafadhali

    Ukifeli tiba Kisaynsi ya Mzungu nakushauri geukia Tiba ya Kisayansi ya Kiafrika....usikubali kuteswa kizembe wataalam wapo
  4. Kimbioko

    JWTZ jifunzeni Kupitia clip hii

    Nchi ambayo haijawahi kupigana vita wanajeshi wake huwa hawathamini raia,maan hawajawah kushuhudia msaad wa raia wake wakiwa mstari wa mbele..Kizazi cha wanajeshi waliopigana Vita ya Kagera kimeshtoweka kwa kifo au wamestaafu,wanajua thamani ya Raia wao kipindi kile..Watanzania waliwachangia...
  5. Kimbioko

    Ni mkoa gani Tanzania kinafanyika kilimo Cha umwagiliaji?

    Nenda Wilaya ya Kilosa Morogoro ukalime vitunguu mabonde ya Kivungu,Miyombo,Tindiga,Malolo na Lumuma,ama ulime mpunga bonde la Mvumi,Ilonga,Kilangali,Lumuma,Msowelo..au nenda bonde la Mkindo Mvomero maeneo ya Turiani...Maeneo yote hayo maji ni uhakika mito inatiririsha maji mwaka mzima
  6. Kimbioko

    Hivi hawa masai wanaotembea wakiuza dawa ni za kweli au matapeli?

    Dawa asili za Kimasai haziuzwi kwa pesa,ukiwa mazingira ya Umasaini utaonyeshwa kila aina ya mti na tiba yake ya magonjwa..Asilimia 90 ya dawa zinazouzwa mijini ni harakati tu za Wana kusaka noti
  7. Kimbioko

    Nakataa Sera ya Elimu kubadilishwa na namuomba Rais Samia asiikubali

    Mfumo wa Elimu wa sasa haujalisaidia Taifa kwa miaka 60 halafu bado mnataka usibadilishwe?...Hivi hamuoni athari zake kwa wasomi wetu? MSOMI ZAO LA MFUMO WA SASA 1.Wezi wakubwa wanaibia Taifa lao wenyewe 2.Wengi hawana uzalendo na upendo kwa raia wenzao wanaowategemea wapate huduma kutoka kwao...
  8. Kimbioko

    Anayesema Wakenya wana akili kuliko watanzania kwa matukio haya mawili akapimwe akili

    Wewe usikufuru lilichowakuta wakenya,usiombe kukutana na Manabii ushirikina,wale wachungaji hutumia ushirikina mbaya sana kuwapumbaza watu...Wahanga wengi wa haya mambo hukutana na nguvu kubwa za Giza(Uchawi) kutoka NIGERIA NA CONGO...usiombe yakukute
  9. Kimbioko

    Alikataa nisimuoe kisa ualimu

    Mvute halafu mle tigo na voda,halafu unamblock mazima........
  10. Kimbioko

    Tanzania yaiteka mioyo ya wawekezaji

    Uvivu huu ndo maana tumeshindwa hadi tunawaalika wageni(Wazungu),kwani wao nchi zao waliwaalika wawekezaji wa wapi? ili wawafanyie maendeleo,walijenga nchi zao kwa mikono yao,nguvu zao na akili zao.....think beyond that line broo,
  11. Kimbioko

    Tanzania yaiteka mioyo ya wawekezaji

    Fikra duni sana hizi kuamini wawekezaj watakuinua kiuchumi...Nchi imetushinda hii tisubri kufa tu labda vitukuu vyetu watazinduka na kuijenga nchi yao kwa namna yao wenyewe..."Tanzanian Youth can't think beyond CCM and CDM lines of interest"..
  12. Kimbioko

    Mwamposa: Mimi siyo Freemasons na sijui kwanini naandamwa na kusingiziwa vingi

    Eti Freemasons nyooo!!!Utambe..wewe ni mwanga tu na mchawi kama wachawi wengine...
  13. Kimbioko

    Mrejesho: Mke wangu Kaomba Msamaha Yaishe

    Mwanamke akishakutishia kuvunja ndoa,lazima arudi kuomba msamaha baada ya kikao cha wazazi wake...dk 15 sasa amejifunza nini hadi umsamehe,angetakiwa arudi kwao walau miezi 2 akafundwe upya
  14. Kimbioko

    Maajabu ya kaburi linalotoa moto, watu wanashangaa hawana kitu cha kufanya

    Hiyo ni ishara hapo kuna Gass na Mafuta,fukua mwili tupa kule anza kuchimba Gass
Back
Top Bottom