Shida ya Magufuli alikuwa mbele ya mda(kama karne moja)..Sera zake alitakiwa zikelezwe mwaka 2100,ndo wangemuelew...Matanzia wenye akili za kawaida hatutokuja kumuelewa hata kidogo,maana uchumi wa Kibepari ni complex sana na unaendeshwa kibabe na kisomi sana,matabaka yanayolengwa (hasa jamii za...
Nchi ambayo haijawahi kupigana vita wanajeshi wake huwa hawathamini raia,maan hawajawah kushuhudia msaad wa raia wake wakiwa mstari wa mbele..Kizazi cha wanajeshi waliopigana Vita ya Kagera kimeshtoweka kwa kifo au wamestaafu,wanajua thamani ya Raia wao kipindi kile..Watanzania waliwachangia...
Nenda Wilaya ya Kilosa Morogoro ukalime vitunguu mabonde ya Kivungu,Miyombo,Tindiga,Malolo na Lumuma,ama ulime mpunga bonde la Mvumi,Ilonga,Kilangali,Lumuma,Msowelo..au nenda bonde la Mkindo Mvomero maeneo ya Turiani...Maeneo yote hayo maji ni uhakika mito inatiririsha maji mwaka mzima
Dawa asili za Kimasai haziuzwi kwa pesa,ukiwa mazingira ya Umasaini utaonyeshwa kila aina ya mti na tiba yake ya magonjwa..Asilimia 90 ya dawa zinazouzwa mijini ni harakati tu za Wana kusaka noti
Mfumo wa Elimu wa sasa haujalisaidia Taifa kwa miaka 60 halafu bado mnataka usibadilishwe?...Hivi hamuoni athari zake kwa wasomi wetu?
MSOMI ZAO LA MFUMO WA SASA
1.Wezi wakubwa wanaibia Taifa lao wenyewe
2.Wengi hawana uzalendo na upendo kwa raia wenzao wanaowategemea wapate huduma kutoka kwao...
Wewe usikufuru lilichowakuta wakenya,usiombe kukutana na Manabii ushirikina,wale wachungaji hutumia ushirikina mbaya sana kuwapumbaza watu...Wahanga wengi wa haya mambo hukutana na nguvu kubwa za Giza(Uchawi) kutoka NIGERIA NA CONGO...usiombe yakukute
Uvivu huu ndo maana tumeshindwa hadi tunawaalika wageni(Wazungu),kwani wao nchi zao waliwaalika wawekezaji wa wapi? ili wawafanyie maendeleo,walijenga nchi zao kwa mikono yao,nguvu zao na akili zao.....think beyond that line broo,
Fikra duni sana hizi kuamini wawekezaj watakuinua kiuchumi...Nchi imetushinda hii tisubri kufa tu labda vitukuu vyetu watazinduka na kuijenga nchi yao kwa namna yao wenyewe..."Tanzanian Youth can't think beyond CCM and CDM lines of interest"..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.